iparamasa
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 13,437
- 14,933
ha ha ha nimecheka sana hii ni sera mpya wa CCM. Vigogo wakae chonjo watoto wao watawamaliza ili wachukue nafasi zao.
ngazi kwa ngazi kila mtu anamuweka mtu wake,lakini hao wanaowekwa wanajipigia kura? si tunapiga sisi? tukiwapigia walala hoi wenzetu je nao wakipanda daraja watatukumbuka? tunayaona kwenye posho bunge la katiba,huku chini tulikuwa wote ghafla wamejiunga na wabunge wa zamani kudai posho kubwa,i think its human nature to look at oneself,me,myself and I