hivi wanawanyongaga kwanin au ndo mazindiko?
Tamaa Mbaya
acha ujinga wewe wote wakisoma nani afungue hizo chupa utajifungulia mwenyewe baaKapata kichwa eeeeh..someni hamtaki mnaishia kufungua vizibo vya serengeti za vuguvugu.
Kapata kichwa eeeeh..someni hamtaki mnaishia kufungua vizibo vya serengeti za vuguvugu.
Sijaona sehemu yeyote jina la afande linahusiana na hii story #Siasa-za-majitaka
Kapata kichwa eeeeh..someni hamtaki mnaishia kufungua vizibo vya serengeti za vuguvugu.
Dada zako wote wamesoma?
Wee una nini! Au dada zako Ndiyo wamesoma sana acha dharauuu
Mie nilivyosikia kuwa yule bidada alivyokuwa kule chumbani zilisikika kelele za kuomba msaada baada ya hapo jamaa akatoka ili aondoke mlinzi akakataa na majirani walikuwa wameishafika ikabidi wapige simu polisi kuingia chumbani mdada kakutwa kanyofolewa sehemu zake za siri na yule mwanaume halafu kaweka kwenye sanduku lake ambapo wanadai kwenye sanduku pia kuna sehemu za siri za wanawake wengine sasa haijajulikana kwanini anafanya hivyo
kwan kuxoma ndio nn....mbona we umesoma na unatembeza vyombo vya promoshen