Tanzia: Ben Kiko afariki dunia

kayogo

Member
Joined
Sep 15, 2010
Posts
75
Reaction score
42
Tanzia
Aliekuwa Mtangazaji maarufu wa radio Tanzania (TBC) mzee BEN KIKO amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo 31/10/2014 kwenye hospital ya jeshi mirambo Tabora.


R.I.P BEN



CHANZO: TBC
 
May eternal peace of God be upon you marehemu Ben Kiko, ulale kwa amani.
 
weka picha basiii,wengine dot com jamaani
mie nimezaliwa wakati wa TBC hiyo RTD sikuwepo
RIP kiko
 
Mtoa mada edit hiyo heading watu watapita tu ila wakiona ni Ben kiko lazima waifungue!!
 
Jina lake halisi alikuwa no BENJAMIN KIKOTI. Umaarufu wake ulikuwa mkubwa Wakati wa vita yetu na Uganda. Huyo jamaa alikuwa anaripoti akiwa mstari wa mbele. RIP Kikoti
 
Aisee nakumbuka alivyokuwa anarupoti matukio ya Tabora....mara nyingi yalikuwa ya kusisimua na kustaajabisha....R.I.P jembe
 
Oooh... Poleni TBC. Bwana alitoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe!
 
Tanzia
Aliekuwa Mtangazaji maarufu wa radio Tanzania (TBC) mzee BEN KIKO amefariki Dunia usiku wa kuamkia leo 31/10/2014 kwenye hospital ya jeshi mirambo Tabora.

R.I.P BEN

May his soul rest in eternal peace
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…