The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,690
- 2,853
Ameona mambo hayaendi sawa!Amekufa na presha?
Kwikwikwikwikwikwiiii. Kaogopa kuuawa kaamua kujidedishaAmekufa kwa Aman kabisa, Lowasa ndio Rais.
Ndo basi tena Lowasa kaukosa UraisKwahiyo hii inaashiria nini kwa Lowasa?
Sijui gwajima naye ataishia wapi mwenzake ndiyo huyo.Yule askofu aliyesema ndugu Lowassa asiposhinda urais 2015 basi tumuue kwa maana anauhakika na unabii wake... amefariki.
R. I. P Pastor.
Wapumbavu huwaza kipumbavu na kuamini kipumbavu.Ysonyesha alikua na furaha kupita kiasi kuona maono yake yanatimia, furaha mpaka presha mpaka mauti.
naomba watanzania tuwe na furaha kiasi juu ya ushindi wa LOWASA.
Inawesekana akiukosa tu nayeye chali!Ndo basi tena Lowasa kaukosa Urais
Mmojawapo kati ya hawa nimempigia simu kanitukana wamehamaki kweli.taarifa zimfikie kakobe na ngwajima