TANZIA: Aliyewahi kuwa Rais wa pili wa Zanzibar, Mzee Aboud Jumbe afariki dunia

Awa

Bora kifuata maelekezo ya KANISA maana haya ubaguzi kwa wote; kanisa halifundishi na wala halienezwi na halitaenezwa kwa upanga kama dini ya allah inavyoenezwa kwa upanga; awamu zote waumini wa allah walizotawala udini uliigubika nchi, oh! mara kadhi kwenye katiba ya nchi; mara oic, madai mengi yasiyokuwa hata nafaida bali ugaidi tu wa m-..t,,,--u,;:-'/m;-:,e

Je ni lini ulisikia KANISA linadai utaratibu wa Kibiblia uwe sehemu ya katiba ya nchi? acheni uongo ila dunia yote inajutia kuwepo kwa dini ya allah,


Waandishi wote hawa wanatuthibitishia kuwa, kuna ukweli fulani kwamba yapo mafungamano ya dhati kati ya Kanisa Katoliki na Serikali ya Tanzania.

Ni mafungamano hayo hayo ndiyo yameendelea kuwapa uweza viongozi wa Kanisa Katoliki kutoa maelekezo, maagizo na vilio vyao Serikalini na wakasikilizwa pamoja na kutekelezwa yale wanayoyahitaji hata kama yamelenga kuleta maafa kwa Waislamu.

Mfano, mwaka 1998, Padri Lwambano, ambaye ni Paroko wa Kanisa Katoliki Mburahati Jijini Dar es Salaam, alisema kuiambia Serikali:- “Lazima Serikali ichukue hatua kali sana kwa Waislamu wanaoendesha Mihadhara, sababu ni watu wabaya kabisa, nimepita Sinza na Mwembechai, nimekuta Waislamu hao wanamtukana Yesu wanasema Yesu si Mungu”, alisema Paroko huyo na kuongeza

“ Kama Serikali imeshindwa kuchukua hatua kali kukomesha Mihadhara ya Waislamu na kuendelea kut upaka matope kwa mgongo wa chupa, Serikali hii ijue sisi tutalishughulikia jambo hilo kwa nguvu zetu zote”.

Kauli hii ya Padri Lwambano, ilirushwa hewani na Kituo cha Radio Tumaini kinachomilikiwa na Kanisa hilo hapa nchini, Februari 13, 1998.

Padri Lwambano bila kujali kuwa imani yake inaamini ‘Yesu ni Mungu’ na Waislamu imani yao inaamini ‘Yesu si Mungu’, aliinyooshea kidole Serikali nayo ilifuata bila kujali yenyewe (Serikali) haina dini na raia wake wana dini, kwa imani tofauti.

Katika utekelezaji wa agizo hilo bila shaka kila mtu anakumbuka kilichotokea.

Ama kwa wale ambao walikuwa ni wadogo kipindi hicho ni kwamba Jeshi la Polisi lilifika Msikiti wa Mwembechai na kuuwa Waislamu kwa risasi na kikumbukumbu ni maarufu kwa ‘Mauaji ya Mwembechai’.

Kufuatia madai hayo ya Padri Lwambano, viongozi kadhaa wa nchi walifikia hatua ya kuliomba radhi Kanisa Katoliki na Wakristo kwa ujumla. Majina na vyeo vya viongozi hao wakuu wa Serikali yanafahamika.

Baada ya kazi nzuri iliyofanywa na Jeshi la Polisi, kazi ya kukatili maisha ya Waislamu na kubaka haki zao, kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini Polycarp Kadinali Pengo, aliipongeza Serikali kwa upande mmoja na Polisi kwa upande wa pili kufuatia mauaji hayo hayo ya Waislamu, Mwembechai. Pongezi hizo alizitoa April 12, 1998 wakati akihojiwa na kituo cha Televisheni cha Dar es Salaam (DTV).

Kanisa likionekana kuuchukukia vilivyo Uislamu, liliongeza harakati za siri na za wazi na kwa kutumia nguvu za dola ili kupunguza kwa upande mwingine nguvu ya Uislamu, maana kuuzima kabisa ni jambo lisilowezekana.

Askofu Mkuu Pengo alitoa taarifa ya kuenea Uislamu hapa Tanzania huku akihitaji msaada wa hali na mali katika kuhidhibiti hali hiyo. Na kweli, Serikali ilitekeleza kudhibiti Mihadhara na Wahadhiri, ambapo wahadhiri maarufu nchini wakiongozwa na Habib Mazinge, walitiwa mbaroni na kutupwa Magerezani.

Aidha sehemu ya taarifa yake ilisema hivi;

“Uislamu umekuwa tishio kubwa sana kwa imani ya Kikristo nchini Tanzania, iwapo mihadhara ya Waislamu itaachwa iendelee, Kanisa litegemee kukimbiwa na waumini wake na kusilimu, kwa hiyo juhudi lazima zifanywe kuzuia Mihadhara hiyo.

“Tunashindwa kujibu hoja zao Waislamu sababu zina ukweli ndani yake”, maelezo haya yanapatikana katika kitabu cha Askofu Pengo kiitwacho Jimbo Kuu la Dar es Salaam kwenye vijilia Sinodi ya Maaskofu wa Afrika kwa ajili ya Afrika.
 
Mungu amemfungua kutoka kwenye gereza za wanadamu, kwa sasa yupo huru. Mwenyezi Mungu amuweke mahali panapostahili
 
Gwama, issue ya huyu Mzee ni ndogo tuu, baada ya kuona Zanzibar inabanwa, akautumia Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mgoa Wolfgang Dourado kuandaa hati za kisheria za serikali tatu,
PASCO!

Upotoshaji wako ndio ulionilazimisha kuzuru baraza na kuweka mambo yalivyo ijapokuwa ndio kwanza narudi msibani kwa mwanamapinduzi wa kweli.

Kuhusu Dourodo sio kweli

Wakati Jumbe akitaayarisha nyaraka za kisheria kuhoji uhalali wa muundo wa Muungano kwenye mahakama ya Katiba ya kimataifa, mtayarishaji alikuwa ni Mwanasheria mkuu wa Zanzibar Dr. Swanzi, aliekuwa raia wa Ghana na baadae kuchukua uraia Zanzibar, akasilimishwa na kuwa muislamu na kuoa Mpemba. Mzanzibari Mzalendo Bw.Wolfgang Dourado alisaidia tu kuandaa "document hiyo ya kisheria" na hasa mapenzi yake kwa mama Zanzibar na kule kuuchukia aliouita " usungura wa Nyerere.
Wakamshirikisha Maalim Seif wakati huo kijana kada maarufu wa CCM, toka UV-CCM. Seif akapanda boat usiku usiku na kuzikabidhi hizo documents kwa Mwalimu

Sio kweli

Jumbe asingeweza kumshirikisha Maalim Sifkwa kuwa alikuwa ameshakera kuhusu sera za ubaguzi wake wa Upemba na kufukuzwa na kuwekwa pembeni. Nyerere kwa kutaka kutimiza anayoyotaka akamuokota Seif na kumpa cheo kwenye chama . Alievujisha siri hiyo na kumkabidhi Seif "inasemekana" ni katibu muhta si , mrembo wa kuvutiana baada ya kufanikisha udhalimu huo dhidi ya serikali na Rais wake mwenyewe "alizawadiwa' kwa kupelekwa kufanya kazi ubalozi wa Tanzania mjini Misri.
ourado yeye aliozea jela kwa muda mrefu, kisha akaachiliwa na kujifia!.
Dourado hakuozea jela lakini aliwekwa kizuizini kwa siku 100 na kutoka tu alimfuata Seif Shrif kumuuliza " UHAINI" wakeni upi? Seif alikuwa akipita nakufanya mihadhara na kumuita Dourado ni mhaini kwa kuwa alikuwa anataka serikali tatu au shirikisho. Mwansheri Mkuu Dr. Swanzi yeye alifukuzwa nchini na kuelea uingereza yeye na mkewe na mpaka mauti yalipomfika huko.
erikali iliendelea kumhudumia kwa kumpatia stahiki zake zote kama rais mstaafu wa Zanzibar!.
Sio kweli
Ukweli ni kuwa Serikali ya muungano iliendelea kumhudumia kwa kumpatia stahiki zake zote kama makamo wa kwanza rais mstaafu wa Tanzania
 
Waandishi wote hawa wanatuthibitishia kuwa, kuna ukweli fulani kwamba yapo mafungamano ya dhati kati ya Kanisa Katoliki na Serikali ya Tanzania.

Ni mafungamano hayo hayo ndiyo yameendelea kuwapa uweza viongozi wa Kanisa Katoliki kutoa maelekezo, maagizo na vilio vyao Serikalini na wakasikilizwa pamoja na kutekelezwa yale wanayoyahitaji hata kama yamelenga kuleta maafa kwa Waislamu.

Mfano, mwaka 1998, Padri Lwambano, ambaye ni Paroko wa Kanisa Katoliki Mburahati Jijini Dar es Salaam, alisema kuiambia Serikali:- “Lazima Serikali ichukue hatua kali sana kwa Waislamu wanaoendesha Mihadhara, sababu ni watu wabaya kabisa, nimepita Sinza na Mwembechai, nimekuta Waislamu hao wanamtukana Yesu wanasema Yesu si Mungu”, alisema Paroko huyo na kuongeza

“ Kama Serikali imeshindwa kuchukua hatua kali kukomesha Mihadhara ya Waislamu na kuendelea kut upaka matope kwa mgongo wa chupa, Serikali hii ijue sisi tutalishughulikia jambo hilo kwa nguvu zetu zote”.

Kauli hii ya Padri Lwambano, ilirushwa hewani na Kituo cha Radio Tumaini kinachomilikiwa na Kanisa hilo hapa nchini, Februari 13, 1998.

Padri Lwambano bila kujali kuwa imani yake inaamini ‘Yesu ni Mungu’ na Waislamu imani yao inaamini ‘Yesu si Mungu’, aliinyooshea kidole Serikali nayo ilifuata bila kujali yenyewe (Serikali) haina dini na raia wake wana dini, kwa imani tofauti.

Katika utekelezaji wa agizo hilo bila shaka kila mtu anakumbuka kilichotokea.

Ama kwa wale ambao walikuwa ni wadogo kipindi hicho ni kwamba Jeshi la Polisi lilifika Msikiti wa Mwembechai na kuuwa Waislamu kwa risasi na kikumbukumbu ni maarufu kwa ‘Mauaji ya Mwembechai’.

Kufuatia madai hayo ya Padri Lwambano, viongozi kadhaa wa nchi walifikia hatua ya kuliomba radhi Kanisa Katoliki na Wakristo kwa ujumla. Majina na vyeo vya viongozi hao wakuu wa Serikali yanafahamika.

Baada ya kazi nzuri iliyofanywa na Jeshi la Polisi, kazi ya kukatili maisha ya Waislamu na kubaka haki zao, kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini Polycarp Kadinali Pengo, aliipongeza Serikali kwa upande mmoja na Polisi kwa upande wa pili kufuatia mauaji hayo hayo ya Waislamu, Mwembechai. Pongezi hizo alizitoa April 12, 1998 wakati akihojiwa na kituo cha Televisheni cha Dar es Salaam (DTV).

Kanisa likionekana kuuchukukia vilivyo Uislamu, liliongeza harakati za siri na za wazi na kwa kutumia nguvu za dola ili kupunguza kwa upande mwingine nguvu ya Uislamu, maana kuuzima kabisa ni jambo lisilowezekana.

Askofu Mkuu Pengo alitoa taarifa ya kuenea Uislamu hapa Tanzania huku akihitaji msaada wa hali na mali katika kuhidhibiti hali hiyo. Na kweli, Serikali ilitekeleza kudhibiti Mihadhara na Wahadhiri, ambapo wahadhiri maarufu nchini wakiongozwa na Habib Mazinge, walitiwa mbaroni na kutupwa Magerezani.

Aidha sehemu ya taarifa yake ilisema hivi;

“Uislamu umekuwa tishio kubwa sana kwa imani ya Kikristo nchini Tanzania, iwapo mihadhara ya Waislamu itaachwa iendelee, Kanisa litegemee kukimbiwa na waumini wake na kusilimu, kwa hiyo juhudi lazima zifanywe kuzuia Mihadhara hiyo.

“Tunashindwa kujibu hoja zao Waislamu sababu zina ukweli ndani yake”, maelezo haya yanapatikana katika kitabu cha Askofu Pengo kiitwacho Jimbo Kuu la Dar es Salaam kwenye vijilia Sinodi ya Maaskofu wa Afrika kwa ajili ya Afrika.
Hoja ga
Waandishi wote hawa wanatuthibitishia kuwa, kuna ukweli fulani kwamba yapo mafungamano ya dhati kati ya Kanisa Katoliki na Serikali ya Tanzania.

Ni mafungamano hayo hayo ndiyo yameendelea kuwapa uweza viongozi wa Kanisa Katoliki kutoa maelekezo, maagizo na vilio vyao Serikalini na wakasikilizwa pamoja na kutekelezwa yale wanayoyahitaji hata kama yamelenga kuleta maafa kwa Waislamu.

Mfano, mwaka 1998, Padri Lwambano, ambaye ni Paroko wa Kanisa Katoliki Mburahati Jijini Dar es Salaam, alisema kuiambia Serikali:- “Lazima Serikali ichukue hatua kali sana kwa Waislamu wanaoendesha Mihadhara, sababu ni watu wabaya kabisa, nimepita Sinza na Mwembechai, nimekuta Waislamu hao wanamtukana Yesu wanasema Yesu si Mungu”, alisema Paroko huyo na kuongeza

“ Kama Serikali imeshindwa kuchukua hatua kali kukomesha Mihadhara ya Waislamu na kuendelea kut upaka matope kwa mgongo wa chupa, Serikali hii ijue sisi tutalishughulikia jambo hilo kwa nguvu zetu zote”.

Kauli hii ya Padri Lwambano, ilirushwa hewani na Kituo cha Radio Tumaini kinachomilikiwa na Kanisa hilo hapa nchini, Februari 13, 1998.

Padri Lwambano bila kujali kuwa imani yake inaamini ‘Yesu ni Mungu’ na Waislamu imani yao inaamini ‘Yesu si Mungu’, aliinyooshea kidole Serikali nayo ilifuata bila kujali yenyewe (Serikali) haina dini na raia wake wana dini, kwa imani tofauti.

Katika utekelezaji wa agizo hilo bila shaka kila mtu anakumbuka kilichotokea.

Ama kwa wale ambao walikuwa ni wadogo kipindi hicho ni kwamba Jeshi la Polisi lilifika Msikiti wa Mwembechai na kuuwa Waislamu kwa risasi na kikumbukumbu ni maarufu kwa ‘Mauaji ya Mwembechai’.

Kufuatia madai hayo ya Padri Lwambano, viongozi kadhaa wa nchi walifikia hatua ya kuliomba radhi Kanisa Katoliki na Wakristo kwa ujumla. Majina na vyeo vya viongozi hao wakuu wa Serikali yanafahamika.

Baada ya kazi nzuri iliyofanywa na Jeshi la Polisi, kazi ya kukatili maisha ya Waislamu na kubaka haki zao, kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini Polycarp Kadinali Pengo, aliipongeza Serikali kwa upande mmoja na Polisi kwa upande wa pili kufuatia mauaji hayo hayo ya Waislamu, Mwembechai. Pongezi hizo alizitoa April 12, 1998 wakati akihojiwa na kituo cha Televisheni cha Dar es Salaam (DTV).

Kanisa likionekana kuuchukukia vilivyo Uislamu, liliongeza harakati za siri na za wazi na kwa kutumia nguvu za dola ili kupunguza kwa upande mwingine nguvu ya Uislamu, maana kuuzima kabisa ni jambo lisilowezekana.

Askofu Mkuu Pengo alitoa taarifa ya kuenea Uislamu hapa Tanzania huku akihitaji msaada wa hali na mali katika kuhidhibiti hali hiyo. Na kweli, Serikali ilitekeleza kudhibiti Mihadhara na Wahadhiri, ambapo wahadhiri maarufu nchini wakiongozwa na Habib Mazinge, walitiwa mbaroni na kutupwa Magerezani.

Aidha sehemu ya taarifa yake ilisema hivi;

“Uislamu umekuwa tishio kubwa sana kwa imani ya Kikristo nchini Tanzania, iwapo mihadhara ya Waislamu itaachwa iendelee, Kanisa litegemee kukimbiwa na waumini wake na kusilimu, kwa hiyo juhudi lazima zifanywe kuzuia Mihadhara hiyo.

“Tunashindwa kujibu hoja zao Waislamu sababu zina ukweli ndani yake”, maelezo haya yanapatikana katika kitabu cha Askofu Pengo kiitwacho Jimbo Kuu la Dar es Salaam kwenye vijilia Sinodi ya Maaskofu wa Afrika kwa ajili ya Afrika.
Hoja gani za ukweli zitoke kwa allah na mtume? huyo mtume mwenyewe kishawaambia sehemu ambazo hamzielewi nendeni kaulizeni kwao wao waliopewa kitabu kwanza kabla yenu au mkisome hicho kitabu wenyewe; nahilo limewashinda mnabakia tu kusema eti hata Adamu naye alikuwa muislam? wakati uislam wenyewe umeanza miaka ya 600 AD baada ya huyo jamaa yenu kuzaliwa, wakati tayari Injili ilishahubiriwa zaidi ya miaka 580 nyuma. Yaani Mtume Paul alifika Efeso, Galatia, Akaya, Lystra mwaka wa 52-53 ambazo sehemu zote hizi leo ndo zinaunda taifa la Uturuki, tena akafika Coritho( leo Ugiriki)tena akafika Macedonia hii ilikuwa 58 AD.

Huko kote Mtume Paul akutana na dini za Wagiriki tu kwa mfano akiwa katika safari yake ya tatu ya umissionary akitokea Coritho mwaka alipofika Efeso 52 alikuta Waefeso wanamwabudu Artemi mungu mke Matendo ya Mitume 19:1-22 wala hakukutana na uislam kama mnavyodai eti uislam ikuwepo tangu Adamu. Na ndiyo maana kwenye Biblia nzima hakuna neno uislam kwasababu haukuwepo enzi hizo, miungu yote na dini zote za mashariki ya kati za wakati huo mpaka dini za wamisri zote zimetajwa katika Biblia; mfano mungu baali 2Wafalme
Waandishi wote hawa wanatuthibitishia kuwa, kuna ukweli fulani kwamba yapo mafungamano ya dhati kati ya Kanisa Katoliki na Serikali ya Tanzania.

Ni mafungamano hayo hayo ndiyo yameendelea kuwapa uweza viongozi wa Kanisa Katoliki kutoa maelekezo, maagizo na vilio vyao Serikalini na wakasikilizwa pamoja na kutekelezwa yale wanayoyahitaji hata kama yamelenga kuleta maafa kwa Waislamu.

Mfano, mwaka 1998, Padri Lwambano, ambaye ni Paroko wa Kanisa Katoliki Mburahati Jijini Dar es Salaam, alisema kuiambia Serikali:- “Lazima Serikali ichukue hatua kali sana kwa Waislamu wanaoendesha Mihadhara, sababu ni watu wabaya kabisa, nimepita Sinza na Mwembechai, nimekuta Waislamu hao wanamtukana Yesu wanasema Yesu si Mungu”, alisema Paroko huyo na kuongeza

“ Kama Serikali imeshindwa kuchukua hatua kali kukomesha Mihadhara ya Waislamu na kuendelea kut upaka matope kwa mgongo wa chupa, Serikali hii ijue sisi tutalishughulikia jambo hilo kwa nguvu zetu zote”.

Kauli hii ya Padri Lwambano, ilirushwa hewani na Kituo cha Radio Tumaini kinachomilikiwa na Kanisa hilo hapa nchini, Februari 13, 1998.

Padri Lwambano bila kujali kuwa imani yake inaamini ‘Yesu ni Mungu’ na Waislamu imani yao inaamini ‘Yesu si Mungu’, aliinyooshea kidole Serikali nayo ilifuata bila kujali yenyewe (Serikali) haina dini na raia wake wana dini, kwa imani tofauti.

Katika utekelezaji wa agizo hilo bila shaka kila mtu anakumbuka kilichotokea.

Ama kwa wale ambao walikuwa ni wadogo kipindi hicho ni kwamba Jeshi la Polisi lilifika Msikiti wa Mwembechai na kuuwa Waislamu kwa risasi na kikumbukumbu ni maarufu kwa ‘Mauaji ya Mwembechai’.

Kufuatia madai hayo ya Padri Lwambano, viongozi kadhaa wa nchi walifikia hatua ya kuliomba radhi Kanisa Katoliki na Wakristo kwa ujumla. Majina na vyeo vya viongozi hao wakuu wa Serikali yanafahamika.

Baada ya kazi nzuri iliyofanywa na Jeshi la Polisi, kazi ya kukatili maisha ya Waislamu na kubaka haki zao, kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini Polycarp Kadinali Pengo, aliipongeza Serikali kwa upande mmoja na Polisi kwa upande wa pili kufuatia mauaji hayo hayo ya Waislamu, Mwembechai. Pongezi hizo alizitoa April 12, 1998 wakati akihojiwa na kituo cha Televisheni cha Dar es Salaam (DTV).

Kanisa likionekana kuuchukukia vilivyo Uislamu, liliongeza harakati za siri na za wazi na kwa kutumia nguvu za dola ili kupunguza kwa upande mwingine nguvu ya Uislamu, maana kuuzima kabisa ni jambo lisilowezekana.

Askofu Mkuu Pengo alitoa taarifa ya kuenea Uislamu hapa Tanzania huku akihitaji msaada wa hali na mali katika kuhidhibiti hali hiyo. Na kweli, Serikali ilitekeleza kudhibiti Mihadhara na Wahadhiri, ambapo wahadhiri maarufu nchini wakiongozwa na Habib Mazinge, walitiwa mbaroni na kutupwa Magerezani.

Aidha sehemu ya taarifa yake ilisema hivi;

“Uislamu umekuwa tishio kubwa sana kwa imani ya Kikristo nchini Tanzania, iwapo mihadhara ya Waislamu itaachwa iendelee, Kanisa litegemee kukimbiwa na waumini wake na kusilimu, kwa hiyo juhudi lazima zifanywe kuzuia Mihadhara hiyo.

“Tunashindwa kujibu hoja zao Waislamu sababu zina ukweli ndani yake”, maelezo haya yanapatikana katika kitabu cha Askofu Pengo kiitwacho Jimbo Kuu la Dar es Salaam kwenye vijilia Sinodi ya Maaskofu wa Afrika kwa ajili ya Afrika.

Waandishi wote hawa wanatuthibitishia kuwa, kuna ukweli fulani kwamba yapo mafungamano ya dhati kati ya Kanisa Katoliki na Serikali ya Tanzania.

Ni mafungamano hayo hayo ndiyo yameendelea kuwapa uweza viongozi wa Kanisa Katoliki kutoa maelekezo, maagizo na vilio vyao Serikalini na wakasikilizwa pamoja na kutekelezwa yale wanayoyahitaji hata kama yamelenga kuleta maafa kwa Waislamu.

Mfano, mwaka 1998, Padri Lwambano, ambaye ni Paroko wa Kanisa Katoliki Mburahati Jijini Dar es Salaam, alisema kuiambia Serikali:- “Lazima Serikali ichukue hatua kali sana kwa Waislamu wanaoendesha Mihadhara, sababu ni watu wabaya kabisa, nimepita Sinza na Mwembechai, nimekuta Waislamu hao wanamtukana Yesu wanasema Yesu si Mungu”, alisema Paroko huyo na kuongeza

“ Kama Serikali imeshindwa kuchukua hatua kali kukomesha Mihadhara ya Waislamu na kuendelea kut upaka matope kwa mgongo wa chupa, Serikali hii ijue sisi tutalishughulikia jambo hilo kwa nguvu zetu zote”.

Kauli hii ya Padri Lwambano, ilirushwa hewani na Kituo cha Radio Tumaini kinachomilikiwa na Kanisa hilo hapa nchini, Februari 13, 1998.

Padri Lwambano bila kujali kuwa imani yake inaamini ‘Yesu ni Mungu’ na Waislamu imani yao inaamini ‘Yesu si Mungu’, aliinyooshea kidole Serikali nayo ilifuata bila kujali yenyewe (Serikali) haina dini na raia wake wana dini, kwa imani tofauti.

Katika utekelezaji wa agizo hilo bila shaka kila mtu anakumbuka kilichotokea.

Ama kwa wale ambao walikuwa ni wadogo kipindi hicho ni kwamba Jeshi la Polisi lilifika Msikiti wa Mwembechai na kuuwa Waislamu kwa risasi na kikumbukumbu ni maarufu kwa ‘Mauaji ya Mwembechai’.

Kufuatia madai hayo ya Padri Lwambano, viongozi kadhaa wa nchi walifikia hatua ya kuliomba radhi Kanisa Katoliki na Wakristo kwa ujumla. Majina na vyeo vya viongozi hao wakuu wa Serikali yanafahamika.

Baada ya kazi nzuri iliyofanywa na Jeshi la Polisi, kazi ya kukatili maisha ya Waislamu na kubaka haki zao, kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini Polycarp Kadinali Pengo, aliipongeza Serikali kwa upande mmoja na Polisi kwa upande wa pili kufuatia mauaji hayo hayo ya Waislamu, Mwembechai. Pongezi hizo alizitoa April 12, 1998 wakati akihojiwa na kituo cha Televisheni cha Dar es Salaam (DTV).

Kanisa likionekana kuuchukukia vilivyo Uislamu, liliongeza harakati za siri na za wazi na kwa kutumia nguvu za dola ili kupunguza kwa upande mwingine nguvu ya Uislamu, maana kuuzima kabisa ni jambo lisilowezekana.

Askofu Mkuu Pengo alitoa taarifa ya kuenea Uislamu hapa Tanzania huku akihitaji msaada wa hali na mali katika kuhidhibiti hali hiyo. Na kweli, Serikali ilitekeleza kudhibiti Mihadhara na Wahadhiri, ambapo wahadhiri maarufu nchini wakiongozwa na Habib Mazinge, walitiwa mbaroni na kutupwa Magerezani.

Aidha sehemu ya taarifa yake ilisema hivi;

“Uislamu umekuwa tishio kubwa sana kwa imani ya Kikristo nchini Tanzania, iwapo mihadhara ya Waislamu itaachwa iendelee, Kanisa litegemee kukimbiwa na waumini wake na kusilimu, kwa hiyo juhudi lazima zifanywe kuzuia Mihadhara hiyo.

“Tunashindwa kujibu hoja zao Waislamu sababu zina ukweli ndani yake”, maelezo haya yanapatikana katika kitabu cha Askofu Pengo kiitwacho Jimbo Kuu la Dar es Salaam kwenye vijilia Sinodi ya Maaskofu wa Afrika kwa ajili ya Afrika.
 
Hoja ga

Hoja gani za ukweli zitoke kwa allah na mtume? huyo mtume mwenyewe kishawaambia sehemu ambazo hamzielewi nendeni kaulizeni kwao wao waliopewa kitabu kwanza kabla yenu au mkisome hicho kitabu wenyewe; nahilo limewashinda mnabakia tu kusema eti hata Adamu naye alikuwa muislam? wakati uislam wenyewe umeanza miaka ya 600 AD baada ya huyo jamaa yenu kuzaliwa, wakati tayari Injili ilishahubiriwa zaidi ya miaka 580 nyuma. Yaani Mtume Paul alifika Efeso, Galatia, Akaya, Lystra mwaka wa 52-53 ambazo sehemu zote hizi leo ndo zinaunda taifa la Uturuki, tena akafika Coritho( leo Ugiriki)tena akafika Macedonia hii ilikuwa 58 AD.

Huko kote Mtume Paul akutana na dini za Wagiriki tu kwa mfano akiwa katika safari yake ya tatu ya umissionary akitokea Coritho mwaka alipofika Efeso 52 alikuta Waefeso wanamwabudu Artemi mungu mke Matendo ya Mitume 19:1-22 wala hakukutana na uislam kama mnavyodai eti uislam ikuwepo tangu Adamu. Na ndiyo maana kwenye Biblia nzima hakuna neno uislam kwasababu haukuwepo enzi hizo, miungu yote na dini zote za mashariki ya kati za wakati huo mpaka dini za wamisri zote zimetajwa katika Biblia; mfano mungu baali 2Wafalme

Akijibu huu Uzi na Mimi naslimu
 
Walimuudhi babu yetu mzee Jumbe, wanasiasa jifunzeni kuchukuliana kwa busara na kusameheana, mtu kuwa na mtazamo tofauti sio usaliti, sio uhaini wala sio dhambi. Kuchomana visu vya mgongo sio jambo jema....Kiongozi mzurii mzalendo akalazimishwa kujiuzulu bila sababu yoyote ya msingi....
Hayo tisa,kumi leo msibani nimeshuhudia unafiki uliokithiri eti wa kumsifu Jumbe na eti CCM bila aibu kinamlilia na kunadi kuwa kimeondokewa na mtu muhimu sana!

Kama kuna watu wakuomboleza mema ya Rais Abod Jumbe basi isiwe CCM.Chama hiki kilipaswa kujikumbusha na kujutia dhulma, udhalimu na ukatili waliomfanyia Jumbe wakati uhai wake.

Rais wetu tuliomchaua kwa kura 84% anauzuliwa na babe mmoja na kufungwa kifungo cha maisha cha asikanyage Zanzibar. Rais wetu mpaka amefariki hajawahi kuwambia wazanzibari kama amejiuzulu. Hatua hii wengi wetu tukaamini kuwa Jumbe hakujiuzulu lakini ameuzuliwa kwa mabavu.

CCM Zanzibar haistahiki kulia au kuomboleza wakati tukijua wakati wa uhai wake alipuuzwa na kusahaulika. Jina lake lilitakiwa lifutike kwenye nyoyo zetu huku tukiendelea kulea shemere za ukoloni mambo leo kwenye shingo na pua zetu, hatupumui.

Jina la Jumbe halikupewa hata barabara wakati alifanya mengi ya maana na kuonekana. Niaibu leo Zanzibar ukakuta majina kama Mkapa, Nyerere kusheheni kupewa barabara, majengo,taasisi na shule wakati watu hao hawajafanya hata moja la maana kwa wazanzibari zaidi ya mateso tukulinganisha na Jumbe. Inauma sana, kapumzike na tutakukumbuka daima zaidi ya Mapinduzi! Umetuonesha mfano na tumeonesheka!
 
Hoja ga

Hoja gani za ukweli zitoke kwa allah na mtume? huyo mtume mwenyewe kishawaambia sehemu ambazo hamzielewi nendeni kaulizeni kwao wao waliopewa kitabu kwanza kabla yenu au mkisome hicho kitabu wenyewe; nahilo limewashinda mnabakia tu kusema eti hata Adamu naye alikuwa muislam? wakati uislam wenyewe umeanza miaka ya 600 AD baada ya huyo jamaa yenu kuzaliwa, wakati tayari Injili ilishahubiriwa zaidi ya miaka 580 nyuma. Yaani Mtume Paul alifika Efeso, Galatia, Akaya, Lystra mwaka wa 52-53 ambazo sehemu zote hizi leo ndo zinaunda taifa la Uturuki, tena akafika Coritho( leo Ugiriki)tena akafika Macedonia hii ilikuwa 58 AD.

Huko kote Mtume Paul akutana na dini za Wagiriki tu kwa mfano akiwa katika safari yake ya tatu ya umissionary akitokea Coritho mwaka alipofika Efeso 52 alikuta Waefeso wanamwabudu Artemi mungu mke Matendo ya Mitume 19:1-22 wala hakukutana na uislam kama mnavyodai eti uislam ikuwepo tangu Adamu. Na ndiyo maana kwenye Biblia nzima hakuna neno uislam kwasababu haukuwepo enzi hizo, miungu yote na dini zote za mashariki ya kati za wakati huo mpaka dini za wamisri zote zimetajwa katika Biblia; mfano mungu baali 2Wafalme

Kanisa halidai utaratibu wa ki biblia ndo tukapata haya Gay Catholic Priests ??
 
Akijibu huu Uzi na Mimi naslimu
Sipendi kuingia kwenye ubishi unaohusu imani, ni hatari sana. Lakini hivi tujiulize nini uislamu? ukauelewa basi hupingi kuwa hata Adam alikuwa muislamu.Mimi na wewe sote tumezaliwa waislamu na kwa kuhofia tutaendelea kuwa hivyo ndio maana tunatendewa tendo la kubatizwa!

"Âdam is believed to have been the first human being and the first prophet on Earth in Islam. Adam's role as the father of the human race is looked upon by Muslims with reverence. Watume wameletwa kuyakumbusha yale yalioletwa kwa kupitia kwa Adam kwa wakati tofauti na zama zake tofauti. Watume wengine walikuja na kukataliwa na watu wao mpaka hii leo, wengine walikubalika na watu wao baada ya kuuona ukweli n.k. Sasa usiwabeze hivyo wenzako ndivyo imani ilivyo.
 
Akijibu huu Uzi na Mimi naslimu
Wala hawezi kujibu kwakuwa hana kielelezo chochote cha kihistoria wala mfano hata mmoja unaoonyesha uwepo wa islam kuanzia 1-580 AD jamani uislam haukuwepo kabisa. Mfano: sote tunajua kabisa kwamba Warumi waliitawala dunia nzima (THE ROMAN EMPIRE GOLD AGE). Sasa twende polepole kama wasomi na great thinkers; kwenye Injili ya Luke 2:1-2 Biblia inatutaarifu kuwa siku zile amri ilitoka kwa kaisari Augustus yakwamba iandike orodha ya majina ya watu wote duniani, tena hii ndiyo sensa ya kwanza kufanyika ikijumlisha watu wote duniani. Hii inaonyesha kuwa habari za kuzaliwa YEDU KRISTO ni za historia kwakuwa hadi wakuu wa serikali za wakati huo wametajwa kwa majina yao na vyeo vyao. sote tunajua kuwa kaisari alikuwa ni EMPEROR- mtawala Mkuu wa serikali ya Kirumi, hivyo anachokiandika Luke kwenye Bibilia ni ushahidi
tosha wa yote yanayomhusu YESU na ndo maana anataja na majina ya watawala wa kisiasa wa wakati ule. Mfano mwingine wa Luke unapatikana kwenye sura ya 3: 1 hapa anatutaatifu kuwa wakati Yohana yule Mbatizaji akitokea jangwani yaani sauti ya mtu aliyenyikani, tayari kaisari Augustus alikuwa hayupo madarakani na sehemu yake kuchukuliwa na kaisari Tiberio, pia kwenye sura hii wametajwa magavana kadhaa akiwemo na Pilato alikuja kumhukumu YESU. Ila ukimwamvia muislam aonyeshe uhusiano wa kiislam na serikali ya kirumi kuanzia mwaka wa 1AD hadi 560 AD hawezi maana kiukweli dini ya kiislam haikuwepo enzi hizo. Kitabu cha Matendo ya Mitume nachenyewe wakati kinaandikwa tayari Tiberia alikuwa ameshafatiki na mahala pake kuchukuliwa na Klaudio kama kaisari angalia Matendo 11:27-30.
 
huo ni muda alioongoza Zanzibar.
Okay, mahala popote pale duniani ukiandika jina la mtu halafu chini ukaweka miaka maana yake ni tarehe za kufa na kuzaliwa.

Sisi ni semi-literate society, yani majority ya watu wanajua kusoma na kuandika nusu nusu, makarani wa serikali waliotumwa kuchapa hicho ki flier ni semi literate, mabosi wa department ya serikali ya Mapinduzi Zanzibar waliopitisha hicho ki flier ni semi literate na jamii nzima ya Zanzibar na Tanzania kwa ujumla hawaoni tatizo na hicho ki flier, semi literate.

SHEIKH ABOUD JUMBE MWINYI

1972 - 1984

Kuzaliwa 1972

Kufariki 1984



image-jpeg.381456


 
ote yanayomhusu YESU na ndo maana anataja na majina ya watawala wa kisiasa wa wakati ule.
Kwa vili kulikuwa hakuna tofauti yeye na wanasiasa , ndio maana ukakisoma kitabu aliotunga Nyerere hukosi hadithi za Bi Titi , kawawa kwa sababu ndio wenzake. Mtume atajikita kuzungumzia watume wenzake waliotangulia. Ndio maana jamii yake imemkataa mpaka leo na hawamtambui kama mtume licha ya hayo mengine ya ajabu!
 
Okay, mahala popote pale duniani ukiandika jina la mtu halafu chini ukaweka miaka maana yake ni tarehe za kufa na kuzaliwa.

Sisi ni semi-literate society, yani majority ya watu wanajua kusoma na kuandika nusu nusu, makarani wa serikali waliotumwa kuchapa hicho ki flier ni semi literate, mabosi wa hicho ki department cha serikali ya Mapinduzi Zanzibar waliopitisha hicho ki flier ni semi literate na jamii nzima ya Zanzibar na Tanzania kwa ujumla hawaoni tatizo na hicho ki flier, semi literate.

SHEIGH ABOUD JUMBE MWINYI

1972 - 1984

Kuzaliwa 1972

Kufariki 1984



image-jpeg.381456


Ni typing mistake tu kama ulivyo fanya wewe. "SHEIGH ABOUD JUMBE MWINYI" badala ya Sheikh
 
Back
Top Bottom