Nadhani kunajambo alisahau yakuwa alikuwa kiongoz na aliapa kuzikubali sheria na katiba huku akiwa ameshika Quran sasa nilazima ajuwe atazikwa kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi zakuwazika viongozi. RIP mzee
Death is a private matter and it's between the deceased and his/her family. Serikali huwasiliana na familia/wafiwa kabla hawajafanya chochote na serikali hueshimu uamuzi wa familia.