Habari zilizopatikana hivi punde ni kuwa Kleist Sykes Amefariki dunia
Huwezi kuzungumzia Historia na Siasa za Tanzania bila familia hii ambayo mchango wake kwenye uhuru wa Tanganyika nathubutu kusema ni Priceless
Mwanachama mwenzetu hapa Jamii Forums na Mwana Historia Mohammed Said atawaletea wasifu wake kwa undani zaidi
InnaLillahi wa Inna IlayhiRajiuun
=======
Huyu hapa MwanaJF mkongwe Mohamed Said akielezea jinsi alivyomfahamu Kleist Abdulwahid Sykes
Updates
Kleist Abdulwahid Sykes
(1950 - 2017)
Ratiba ya Mazishi
Alhamis 23/11/2017
Msiba nyumbani Kawe Beach karibu na Mediterraneo Hotel
Saa 5 asubuhi mwili kuwasili nyumbani
Saa 7 mchana adhuhur kusaliwa jeneza (maiti) hapo nyumbani
Saa 8:30 Jeneza kuelekea Masjid Maamur Upanga
Baada ya sala ya alasiri na kusalia jeneza itaelekea Makaburi ya Kisutu