ivi chusa ameekeza kokote kweli??? naona tadei ndo kafungua kipub
daa umenikumbusha mbali huyu mtu yuko wp?
Kwa umri wangu namkubali huyu dogo na nina kabinti kangu nataka nikakuze kwa roho safi nimpe akaoe kabisa maana kwa aliyofanya tena bila elimu nampa 'heko'....kwel kaiinua mererani yao kimasomaso, wako wapi kina Omary Hatibu, kina Shilingi, kina Ray Kishumbua, kina Mathias Mnama, kina Komandoo, kina Askofu, kina Ustaadh East Coast, kina Hamad Mjaluo, kina Yusuph Sakina, kina Lemali? Kijana pamoja na mambo yote kajiweka level zao na kafanikisha alichopanga. Mimi binafsi natamani angeumvwa kuwa mdogo wangu wa damu ningepita kila mtaaa kumsapoti kwa kupiga makelele mpaka nipigwe kudadadeki.
Kwa umri wangu namkubali huyu dogo na nina kabinti kangu nataka nikakuze kwa roho safi nimpe akaoe kabisa maana kwa aliyofanya tena bila elimu nampa 'heko'....kwel kaiinua mererani yao kimasomaso, wako wapi kina Omary Hatibu, kina Shilingi, kina Ray Kishumbua, kina Mathias Mnama, kina Komandoo, kina Askofu, kina Ustaadh East Coast, kina Hamad Mjaluo, kina Yusuph Sakina, kina Lemali? Kijana pamoja na mambo yote kajiweka level zao na kafanikisha alichopanga. Mimi binafsi natamani angeumvwa kuwa mdogo wangu wa damu ningepita kila mtaaa kumsapoti kwa kupiga makelele mpaka nipigwe kudadadeki.
Kweli hii sasa dharau kumfananisha mtu kama Lemali na Picin...nahisi huyu mtoa mada americana atakuwa ndo picini mwenyeweDuuuh upambe ni mbaya sana bandugu hao uliowataja kuna wa2 sio wa kumfananisha nae hata kidogo lemali,matias mnama,hamad mjaluo sio level yake hata kidogo......
Kweli hii sasa dharau kumfananisha mtu kama Lemali na Picin...nahisi huyu mtoa mada americana atakuwa ndo picini mwenyewe