Mkuu wengi wamechoka asikwambie m2 wameuza nyumba mana walijua mgodi w baba yao ila wenye akili wako njema....hussein n faisal wanapiga nguzo n bomu kma apolo instead y kusukuma shaft wanazidiwa n migodi y wazawa
Tanzanite bado ipo sana migodi inayofanya kazi kiuhakika wanapata tu
Inamaana hakuna hata mmoja aliyejiwekea kitegauchumi kinachoelekea kumuweka mjini kwa miaka ijayo? Mi nawajua wala starehe walikuwepo kwenye hiyo orodha ya waliotoka pale ila kwa kweli siwezi kuamini kama wote wamechezea nafasi zao. Hebu nitajie aliye na muelekeo japo kidogo na anafanya nini sasa hivi