Tanzanite One Mining Ltd yaelekea kufilisika

Ndio maana fujo zimepungua sana hapa arusha town...... heshima lazima itarud tu
 
Mkuu hatuwasemi kwa ubaya ila ndio hvyo hussein kachukua warangi wenzie kibao kajaza pale ili waibe mawe instead y kusukuma shaft......then hao warangi ndio mateam leader hata cheti cha std 7 hawana.
Kuna jamaa anaitwa bob ally ni mpiga bomu maarufu nae mkuu kazi yake ni kupiga bomu n nguzo 2,wana mda mrefu hawajatoa production y maana wakati apolo za kawaida wa2 wanatoa mzigo wa haja

Hapo palianza ukabila toka enzi za wazungu yule Ami mpungwe alileta waluguru wenzake toka moro akina densa, makame na akina mbongo dereva wa skaveta wakajaa kibao kisha akaja HR mpare flani ndo balaa nae akawajaza wa kutosha kabla akina garmaa hawajajaa hapo. So sie wamakonde tulikua tunaonewa tu atlist mtetezi akiwa Seif ingawa alikua mpiga nyundo ila alikua sinia na akina evander kabla hawajaja watoto wa wakubwa na kuharibu system kabisa pale. Ukienda pale na kimemo cha Ole Mollel unapeta tu
 
Hapo palianza ukabila toka enzi za wazungu yule Ami mpungwe alileta waluguru wenzake toka moro akina densa, makame na akina mbongo dereva wa skaveta wakajaa kibao kisha akaja HR mpare flani ndo balaa nae akawajaza wa kutosha kabla akina garmaa hawajajaa hapo. So sie wamakonde tulikua tunaonewa tu atlist mtetezi akiwa Seif ingawa alikua mpiga nyundo ila alikua sinia na akina evander kabla hawajaja watoto wa wakubwa na kuharibu system kabisa pale. Ukienda pale na kimemo cha Ole Mollel unapeta tu

Hahahaaa shark umenichekesha sana ulipomuongelea evander mwili mkubwa 2006 ndio alikua mpigaji mzuri w mawe ila sijamuona miaka toka afukuzwe kazi.....mimi nko opec ndio nafanyia kazi tulikua tumebakiza cku 2 tupige production ya ajabu mwaka jana mwezi wa 6.
Walivyokuja hawa waswahili mgodi we2 tukarudishwa mita 500 nyuma halafu ile sehemu tuliyopiga baruti wakaja wao wakapiga moto 3 wakapakua karibia kilo 9 za mzigo yani acha 2....kuna geologist wao ndio alikuja tuambia hilo ila sisi tulifanya uzembe ilikua tupige huo mzigo toka mwezi w 3 tukawa tunapiga njia 4 tungepiga hiyo moja tungekua madon mana kio 9 ni mawe bado magonga n pc ndogondogo
 
Mkuu tweenty4seven wewe kweli ni mdau wa Tanzanite One Mining mambo ulisema ni kweli 100%.Mimi ni mdau mkubwa enzi za Makaburu nikuwanafanya biashara kubwa ya lubricants lakini walipoingia Hussein Gonga na Faisal ulipaji ukawa wa kusuasua nilipolipwa fedha zangu nikaacha kufanya biashara na nao.Walijaribu kunitumia order kadhaa nikagoma kusupply.Nikawawekea conditions wakashindwa CWO wanataka mkopo kulipa mpka uende kama mara kumi ulie kilio cha mbwa ndio wakufikirie ukimpgia simu Finance Manager Bwana Saitoti wala hapokei ndio nikawapiga chini sitaki biashara yao kabisa.

Ni kweli Bwana Hussein Gonga kawajaza warangi wenzake utafikiri anakwenda kugombea ubunge Kondoa.Idadi ya wafanyakazi walioajiriwa kipindi anakabidhiwa mgodi haiendani na kazi zilizopo pamoja na huduma za wachimbaji kama matundu ya vyoo,mabafu ya kuogea na nk.

Jambo baya zaidi ni kitendo cha kulipua nguzo ambazo ni muhimu kwa usalama wa mgodi.jambo hili linafanyika kw maksudi kabisa huku maafisa usalama wakiangalia kuna siku utasikia maafa makubwa yametokea ndio utasikia tume za kibabaishaji zinaundwa ihali ukweli unajulikana.

Vifaa vingi havifanyikazi hasa shaft zimewashinda kabisa ndio maana wanakimbilia kulipua nguzo kukwepa gharama za kuendesha shaft.

Wataalamu wengi hasa wazungu toka South Afrika wametimuliwa kwasababu walikuwa wanakula nguruwe wakaonekana hawafai kabisa utaalamu wao ukawekwa kando.Waongoza njia vi vibaka wa porini hasa Merereni ambao wanafanyakazi kwa uzoefu tu pasipo ujuzi wowote,kibaya zaidi wengi ni wezi wa mawe waliokubuhu matokeo yake mawe mengi yanaishia njia matajiri wanaolipa mishahara,chakula na gharama kubwa za mgodi wanaambulia mawe machache sana huku wakibebeshwa gharama kubwa za kuendesha mgodi.

Mkuu ngongo mimi nko opec ila najua sana njia za huko chini mana nimechimba mda....ila mwaka jana walivyochukua kina hussein mgodi we2 ukapoteza mita 500 mana tulikua tunachimba kwenye bomba lao tulipoteza miundo mbinu yetu n gharama kubwa.
Kwasasa tuko level 18 still tunasearch njia kupata production.

Pia mageologist wazuri hawana wengi waliacha kazi wakahamia kwa wazawa n kupewa share y 20% kma ruta,vitus,magawa na wametoka mawe n kua vizuri kuliko kwa mzungu......alibaki seki nae alifukuzwa 2014 toka kipindi hicho production nzuri walitoa moja tu tena ilikua ye2 walitufukuza wakapiga moto 4 mzigo huo....geologist aliobaki ni kibakuli n mwingne simjui bt sio wazoefu wa hiyo miamba kma ruta au vitus
 
Last edited by a moderator:
Basi mkuu tatizo si warangi ila ni wenye mgodi, kwanza mgodi wenyewe walipeana kinyemela na huyo prince, tenda ya kuuza haikutangazwa popote walipeana kwa hati ya dharura wacha mgodi usiteme, kwani shida gani? Waliopata wakachezea ndio basi tena. Acha wanaapolo wapate mzigo warudishe heshima A town. Haaa nimemkumbuka Elisante enzi zile bado nafaa uniform alisumbua kichizi A town ilikuwa tamu kweli.

Hawana mkataba pale wako kma vibaka 2 ukiwa pale sawa uko kondoa istoshe hussein anapiga bomu n nguzo kitu ambacho huwezi pata mawe y mana....elisante yupo ila zama zake hazipo cku hizi kma mgodi hujichimbi kisasa mawe utayasikia 2 mawe yako chini sana lazma uwezo n mshiko wa haja.
Sasa hivi king ni matias,chusa,sunda,kwa onesmo plus kwingne mawe yanatoka ila sio kihivyo kuna kwa mchina,godi charity,kwa dunia
 
Mkuu tweenty4seven vijana wengi wa Tanzanite One nimewaletea magari kipindi cha Makaburu walikuwa wapo njema sem mara nyingi wakiwa na fedha wanakuwa na mawenge sana hawana muda wa kusubiri kitu kizuri nikaamua kule gari kadhaa na kuzipaki nikingojea mzigo ukitema unapiga super profit.

Kuna jamaa mmoja mzimbabwe sijui kama bado yupo yeye ndio General Manager mstaarabu sana sidhani kama ataweza kufanya kazi na wahuni kama Hussein Gonga na Faisal unajua muda nimewkimbia.

Mkuu ngongo mimi nko opec ila najua sana njia za huko chini mana nimechimba mda....ila mwaka jana walivyochukua kina hussein mgodi we2 ukapoteza mita 500 mana tulikua tunachimba kwenye bomba lao tulipoteza miundo mbinu yetu n gharama kubwa.
Kwasasa tuko level 18 still tunasearch njia kupata production.

Pia mageologist wazuri hawana wengi waliacha kazi wakahamia kwa wazawa n kupewa share y 20% kma ruta,vitus,magawa na wametoka mawe n kua vizuri kuliko kwa mzungu......alibaki seki nae alifukuzwa 2014 toka kipindi hicho production nzuri walitoa moja tu tena ilikua ye2 walitufukuza wakapiga moto 4 mzigo huo....geologist aliobaki ni kibakuli n mwingne simjui bt sio wazoefu wa hiyo miamba kma ruta au vitus
 
Last edited by a moderator:
Mkuu tweenty4seven vijana wengi wa Tanzanite One nimewaletea magari kipindi cha Makaburu walikuwa wapo njema sem mara nyingi wakiwa na fedha wanakuwa na mawenge sana hawana muda wa kusubiri kitu kizuri nikaamua kule gari kadhaa na kuzipaki nikingojea mzigo ukitema unapiga super profit.

Kuna jamaa mmoja mzimbabwe sijui kama bado yupo yeye ndio General Manager mstaarabu sana sidhani kama ataweza kufanya kazi na wahuni kama Hussein Gonga na Faisal unajua muda nimewkimbia.

Atakua bado yupo ila kazi haziendi gharama pale kwa mwezi inafika 1bn sasa hawa waswahili hawana production yeyote hawawezi kumudu....pia naskia kuna mkopo mkubwa kaburu alichukua so inabidi ulipwe stamico wana share 50% ila hata hawajui nini kinaendelea.
Kma opec walichukua migodi karibia 6 yani acha 2 tumenza upya kazi hatuko pabaya ila gharama n hasara ndio zimeturudisha nyuma hivi mita 500 kurudishwa n hasara kubwa sana ila ndio hivyo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu tweenty4seven wewe kweli ni mdau wa Tanzanite One Mining mambo ulisema ni kweli 100%.Mimi ni mdau mkubwa enzi za Makaburu nikuwanafanya biashara kubwa ya lubricants lakini walipoingia Hussein Gonga na Faisal ulipaji ukawa wa kusuasua nilipolipwa fedha zangu nikaacha kufanya biashara na nao.Walijaribu kunitumia order kadhaa nikagoma kusupply.Nikawawekea conditions wakashindwa CWO wanataka mkopo kulipa mpka uende kama mara kumi ulie kilio cha mbwa ndio wakufikirie ukimpgia simu Finance Manager Bwana Saitoti wala hapokei ndio nikawapiga chini sitaki biashara yao kabisa.

Ni kweli Bwana Hussein Gonga kawajaza warangi wenzake utafikiri anakwenda kugombea ubunge Kondoa.Idadi ya wafanyakazi walioajiriwa kipindi anakabidhiwa mgodi haiendani na kazi zilizopo pamoja na huduma za wachimbaji kama matundu ya vyoo,mabafu ya kuogea na nk.

Jambo baya zaidi ni kitendo cha kulipua nguzo ambazo ni muhimu kwa usalama wa mgodi.jambo hili linafanyika kw maksudi kabisa huku maafisa usalama wakiangalia kuna siku utasikia maafa makubwa yametokea ndio utasikia tume za kibabaishaji zinaundwa ihali ukweli unajulikana.

Vifaa vingi havifanyikazi hasa shaft zimewashinda kabisa ndio maana wanakimbilia kulipua nguzo kukwepa gharama za kuendesha shaft.

Wataalamu wengi hasa wazungu toka South Afrika wametimuliwa kwasababu walikuwa wanakula nguruwe wakaonekana hawafai kabisa utaalamu wao ukawekwa kando.Waongoza njia vi vibaka wa porini hasa Merereni ambao wanafanyakazi kwa uzoefu tu pasipo ujuzi wowote,kibaya zaidi wengi ni wezi wa mawe waliokubuhu matokeo yake mawe mengi yanaishia njia matajiri wanaolipa mishahara,chakula na gharama kubwa za mgodi wanaambulia mawe machache sana huku wakibebeshwa gharama kubwa za kuendesha mgodi.

Huyo jamaa ni mshikaji wangu sana tu, yeye wenyewe kunakaribia kumshinda.
 
Hawana mkataba pale wako kma vibaka 2 ukiwa pale sawa uko kondoa istoshe hussein anapiga bomu n nguzo kitu ambacho huwezi pata mawe y mana....elisante yupo ila zama zake hazipo cku hizi kma mgodi hujichimbi kisasa mawe utayasikia 2 mawe yako chini sana lazma uwezo n mshiko wa haja.
Sasa hivi king ni matias,chusa,sunda,kwa onesmo plus kwingne mawe yanatoka ila sio kihivyo kuna kwa mchina,godi charity,kwa dunia

nguzo= mageo na maminer wanaziita pillars,kwa wale ambao watakuwa hawajaelewa ni kama nguzo zainazoshikilia ghorofa lisianaguke pale linapojengwa na uhai wake wote uliobakia.

Kama nikweli wameanza kuzilipua tutegemee maafa muda wowote,hasahasa msimu wa mvua.
 
nguzo= mageo na maminer wanaziita pillars,kwa wale ambao watakuwa hawajaelewa ni kama nguzo zainazoshikilia ghorofa lisianaguke pale linapojengwa na uhai wake wote uliobakia.

Kama nikweli wameanza kuzilipua tutegemee maafa muda wowote,hasahasa msimu wa mvua.

Mkuu hilo wanafanya sana istoshe stamico wako kimya 2....wanapiga nguzo kwa sana instead y kupiga shaft wanapata mawe madogomadogo.shaft zinazofanya kazi cdhani kma zinafika tano
 
Mkuu hilo wanafanya sana istoshe stamico wako kimya 2....wanapiga nguzo kwa sana instead y kupiga shaft wanapata mawe madogomadogo.shaft zinazofanya kazi cdhani kma zinafika tano


Kwa kigezo ulichokitaja cha ukabila inaweza ikawa kweli,maana nimesota sana kuja t1 lakini wapi,last mounth kuna jamaa kaingizwa hapo kwa jiwe mbili tu ingawa toka makaburu kuondoka production imekuwa ndogo.

stamico hawana meno mwaka 90 walipewa mwadui wakasema almasi haipo tena leo petradimond wanapiga pesa kama hawana akili nzuri.

Ila kiukweli kulipuliwa kwa nguzo kutapelekea kufall kwa mgodi.
 
Duh simu yako anapokea :angry: ana bahati mbaya kweli kapewa mikoba haijaisha hata miezi miwili waswahili wakaingia hana usemi wowote kila kitu lazima Faisal au wapambe wa Hussein Gonga.

Hussein Gonga mdini kweli kweli mtu ukila Nguruwe shida,account za kampuni kazihamishia Amana bank kwakuwa wanafuata sheria za kiislam.

Huyo jamaa ni mshikaji wangu sana tu, yeye wenyewe kunakaribia kumshinda.
 
Ukitazama kwa makini utagundua Hussein Gonga na genge lake hawana mipango ya muda mrefu wanataka kupiga fedha haraka haraka then wanakimbia kwasababu nasikia Makaburu walichukua mkopo mkubwa wakawaachia waangaike nalo.Unajua wakati wa kununua kampuni lazima uwe makini sana masuala kama long term liability,capital....Nadhani Hussein Gonga hakuangalia hilo kabisa au pengine hakuwa na ujuzi wa kufahamu hayo mambo kwakuwa mara nyingi wapambe wake ni watu wa hovyo hovyo.


Kwa kigezo ulichokitaja cha ukabila inaweza ikawa kweli,maana nimesota sana kuja t1 lakini wapi,last mounth kuna jamaa kaingizwa hapo kwa jiwe mbili tu ingawa toka makaburu kuondoka production imekuwa ndogo.

stamico hawana meno mwaka 90 walipewa mwadui wakasema almasi haipo tena leo petradimond wanapiga pesa kama hawana akili nzuri.

Ila kiukweli kulipuliwa kwa nguzo kutapelekea kufall kwa mgodi.
 
Ukitazama kwa makini utagundua Hussein Gonga na genge lake hawana mipango ya muda mrefu wanataka kupiga fedha haraka haraka then wanakimbia kwasababu nasikia Makaburu walichukua mkopo mkubwa wakawaachia waangaike nalo.Unajua wakati wa kununua kampuni lazima uwe makini sana masuala kama long term liability,capital....Nadhani Hussein Gonga hakuangalia hilo kabisa au pengine hakuwa na ujuzi wa kufahamu hayo mambo kwakuwa mara nyingi wapambe wake ni watu wa hovyo hovyo.

kamanda mimi nafuraha kuona katika mining kuna watz tunaelewa game wanaoliaribu,na pia wazawa wengi wanaopewa dhamana jinsi wanavotuangusha katika utendaji.
 
Duh simu yako anapokea :angry: ana bahati mbaya kweli kapewa mikoba haijaisha hata miezi miwili waswahili wakaingia hana usemi wowote kila kitu lazima Faisal au wapambe wa Hussein Gonga.

Hussein Gonga mdini kweli kweli mtu ukila Nguruwe shida,account za kampuni kazihamishia Amana bank kwakuwa wanafuata sheria za kiislam.

Yap, labda kwasababu mie sio kwamba nawasiliano yetu ni sababu ya kazi bali mambo yetu binafsi, ya ushikaji na kimaisha zaidi, ial huo mgogoro wa warangi nimeusikia sana, kwamba warangi wote hapo wamekuwa maboss.
 
Hussein n faisal wanajua mwisho wao nov ndio wanapiga nguzo kupata pesa pia prince cjui anapewa cash au mzigo....ila kurun mgodi ni gharama dats y hussein miaka yote hana mgodi wake yeye ananunua tu.mwaka huu chusa n kwaonesmo ndio kumelisha mji kiasi bila hvyo ingekua balaa
 
Yaani Hussein ni mtu wa ajabu kweli kweli ukiwa Mrangi hata kama hujui kusoma na kuandika wewe boss.Warangi wengi kawachukua huko kwa hata kiswahili shida siku wakirudishia mlango sijui watakwenda wapi.

Yap, labda kwasababu mie sio kwamba nawasiliano yetu ni sababu ya kazi bali mambo yetu binafsi, ya ushikaji na kimaisha zaidi, ial huo mgogoro wa warangi nimeusikia sana, kwamba warangi wote hapo wamekuwa maboss.
 
Hussein n faisal wanajua mwisho wao nov ndio wanapiga nguzo kupata pesa pia prince cjui anapewa cash au mzigo....ila kurun mgodi ni gharama dats y hussein miaka yote hana mgodi wake yeye ananunua tu.mwaka huu chusa n kwaonesmo ndio kumelisha mji kiasi bila hvyo ingekua balaa

Yaan mereran yote mpk KIA ni njaa aisee wale wamasai walioamua kua brokers kwisha habari yao. Evander mwili jumba yupo boman'gombe ana baa na yenyewe imechoka pia wale wameru waanzilishi ndo kabisaaa waya mkali. Kila wikiend baa yao ilikua Rombo Green view shekilango cku hizi choks tu
 
Yaan mereran yote mpk KIA ni njaa aisee wale wamasai walioamua kua brokers kwisha habari yao. Evander mwili jumba yupo boman'gombe ana baa na yenyewe imechoka pia wale wameru waanzilishi ndo kabisaaa waya mkali. Kila wikiend baa yao ilikua Rombo Green view shekilango cku hizi choks tu

Maisha ni kujipanga kiuchumi sio kula bata evander alipakua makorongo sana nkajua hata akitoka pale yuko sawa ......ila brokers wako njema 2 wengi matajiri cz hela zao wamewekeza.
Pia seki,gilyard,mzee d,justine na wengineo wako njema mana waliwekeza kwenye majumba
 
Back
Top Bottom