Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Robert Mboma was and is not a genius but a fisadi. May be you don't know the meaning of genius.
Uporaji wa mashamba yaliyokuwa ya serikali kule Mbozi?!?
Robert Mboma was and is not a genius but a fisadi. May be you don't know the meaning of genius.
Am just wondering silently that "where did you find that quote?"
Major Lupogo anaingia wapi kwenye hii listi? Kwasababu najua katika wanastratejia wazuri wakati wa Kagera war alikua mmoja wapo na nimesoma baadhi ya mbinu zake....
Look at that big belly. Have you seen a military commander with a big belly like that?
Hao ni wapiganishaji na si wapiganaji ! Sijui JKT umepita ?
Walipovuka mpaka,Mayunga aliwaambia wanajeshi,'' Tuna kazi ya kufanya,nataka tupate ushindi,from now on the rules will be lax,I just want the enemy killed. Kama huwezi kuua mpaka uvute bangi,please do so,mradi tu tushinde hii vita.'' Kwa hiyo the victory had be crafted. Wale watu wamepigana according to his thought.
Brgadia General Himid HemedDuh list haina Mnzanzibari kabisa! Au hawakuchangia in body soul and spirit vita vya Kagera? This how we loose the muungano groove.