Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,916
- 11,249
Akicheza atanyang'anywa hao watotoIla sidhan kama atafurahi, watoto aliozaa na mzungu watamuokoa
Akicheza atanyang'anywa hao watotoIla sidhan kama atafurahi, watoto aliozaa na mzungu watamuokoa
We umewahi hata kuolewa?utakuwa umepiga umbea Istagram umeona haitoshi umehamia na huku.Inasemekana ndoa ya Mange Kimambi imefika ukingoni. Ni habari ya kusikitisha sana kwa wapendwa wake ila kwa wengine ni furaha isiyo na kifani
if you fear here lets talk personalMiaka yangu ya nini?
Hivi unamjua Mange? Kama humjui shukuru Mungu.Wabongo tunapenda sana kufurahia matatizo ya wengine
if you fear here lets talk personal
Mange amemaliza hasira zake zote kwa Le mutuz-amemtukana le mutuz matusi makubwa sana kwa instagramLe Baharia njoo huku ukitoka kanisani, nazidiwa. Ever humbled
kama wewe?Hivi mkeo angeshinda mitandaoni Kama Mange mngeelewana?
Inasikitisha sana kwa kweli, huyu dada hata kama alikuwa na madhaifu yake lakini bado haitoi sababu ya kufurahia matatizo yanapompata. Hii ni dunia utamcheka mwenzio leo, kesho yako huijui. Tujifunze kulipa ubaya kwa wema, hata kama Mange alikukwaza mbadilishe tabia kwa kumuonyesha upendo na huruma. Mungu amsaidie huyu dada, I really pity her.Wabongo tunapenda sana kufurahia matatizo ya wengine
si alikuja kutukana hapa kuwa hajaachwa na wanawake wa upareni hawaachwi akamuita nifah bitch hahahaha haya atapata mzungu mwingineInasemekana ndoa ya Mange Kimambi imefika ukingoni. Ni habari ya kusikitisha sana kwa wapendwa wake ila kwa wengine ni furaha isiyo na kifani
juzi kati alitukana wana jf na kutuambia wanawake wa kipare hawaachwi . hiyo ndio ajabuCha ajabu ni nini sasa??
Kwani yeye ndio mwanamke wa kwanza duniani kupokea au kutoa talaka?
Alikuwa nani hapa kabla ya kwenda Marekani?Huyu dada ananishangazaga sana wadau yaani mimi huwa simuelewi,utamkuta masaa 24 kazi yake ni kushinda kwenye mitandao ya kijamii ,mda wote yupo insta na wasap alafu naambiwa ni mke wa mtu khaaa..hata mimi naamini huyu mzungu alikuwa mvumilivu kweli kweli.
wakuu huyu dada kipindi cha kampeni kama mlikuwa mnafuatilia post zake instagram ni mitandao mingine ya kijamii kwenye account zake alikuwa mstari wa mbele kuishabikia ccm na huyuhuyu ndio aliyemsema lowassa kajinyea wala si mwingine,,lakini cha kushangaza juzi kati hapa...amekigeuka chama chake gafla na kuugeukia upinzani,,,sikuizi anajifanya kupinga chama chake ,now amefikia kumponda hadi magufuli aliyekuwa akimsifia kuwa ni dikteta na juzii nilimnukuu akisema kuwa wabunge wa ccm ni majipu......vilevile wakuu huyu dada namfananisha na mwanajeshi mwoga anayejifanya kupigania haki za nchi yake wakati yeye kajificha kwenye nchi ya adui
Huwezi pigania haki za nchi yako wakati unajijua umejificha kwenye nchi za watu
Huyu dada nna wasiwasi nae atakuwa anakula bangi au hana akili timamu
Wewe ni mke wa nani?wacha umbe peleka makapuku huku umefungua ID kwa ajiri ya haya machafu.
swissme
juzi kati alitukana wana jf na kutuambia wanawake wa kipare hawaachwi . hiyo ndio ajabu
labda kweli hawaachwi lakini wanaacha.juzi kati alitukana wana jf na kutuambia wanawake wa kipare hawaachwi . hiyo ndio ajabu
lolz haiyalabda kweli hawaachwi lakini wanaacha.