C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
Habari za kwenu waungwana natumaini mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku ya kutafuta ubillionaire katika nyanja yetu pendwa ya Technology, sasa basi leo naomba nizungumze na software developers, mobile developers na engineers mbalimbali wa maswala ya Artificial Intellience, Cloud computing na Software as Service
Dunia imetuletea Netflix, Hulu, Showmax, Amazon prime na platforms nyingi
Dunia ile ile imetuletea Deezer, Audiomack, Boomplay and other
mie C.T.U nawaletea idea ya RASA (Radio as a service anywhere)
RASA ni nini? RASA ni software as a service cloud computing platform ambayo itakuwa inaunganisha radio stations na wasikilizaji wake kwa kutumia Artificial Intelligence argorithims
yaani ni platform ambayo itakuwa imetengenezwa kwa kutumia technology tatu hizo
Platform hiyo itakuwa inafanya kazi na radio stations kwa ku transfer mawimbi hayo kutoka studio na kusafirisha kwenye cloud system yetu then msikilizaji atakuwa anasikiliza kipindi kile intantly, msikilizaji atakuwa anauwezo wa kutoa maoni ya kipindi kile kwa kutumia platform anayosikilizia na kufika moja wa moja kwa mtangazaji kwenye computer yake pale studio
AI integration itamsaidia kuweza kuweza kupata ujumbe kipindi kipindi kikikaribia kuanza, hii itawasaidia watu ambao ni wapenzi wa radio VOA ya tabora kuweza sikiliza vipindi vya VOA instnantly popote duniani alipo LIVE na kuweza kutuma ujumbe mbalimbali wa maandishi na sauti kwa studio
kutakuwa na platforms mbili for radio stations and for listerners
for radio stations ni software itakayokuwa installed kwenye computer ya studio ambapo mtangazaji atakuwa anaongea na kusikika moja kwa moja na watumiaji wa RASA for listerners kupitia simu zao za kiganjani
kwa radio stations itasaidia kwanza kuweza kusikika duniani na kwa watu wengi Zaidi lakini pia zile streamings ambazo zitakuwa zinasikilizwa na watu mbalimbali duniani ni hela kwani wanaweza kulipwa as loyalty na RASA (hii ni ishu nyingine kabisa)
kwa Tanzania hii project ni ngumu sana kuinuka na kuwa kubwa so italazimu kuhamia marekani kwa ajili ya execution ya product na kuanzisha kwa marekani lengo ni kuweza kukua kwa haraka na kwa muda mfupi
hivyo basi ili kuweza kuleta ubobezi katiika platform hii development center itafunguliwa Santa Monica, CA
why santa Monica? ikumbukwe kwamba Los Angels ndipo heart ya media technology duniani so kwa ajili ya ku acces best talent, right ventures etc ambapo kwa kuanza tutachukua ofisi katika wework co working with 10 hired engineers specialized in cloud computing, saas and AI
Hivyo basi katika kuanza tutaanza MVP katika radio stations 50 zilizopo Los Angels then tuta move kwenda maeneo mengine na miji mingine hivyo kwa kuanza tutahitaji $4M as seed investment kwa ajili ya
1) Office at we work santa monica for 1 year
2) Team and developing the platform for the
3) preliminary expenses
MVP ikifanikiwa tuta rise other venture funds with series A etc
Nakaribisha maoni
Dunia imetuletea Netflix, Hulu, Showmax, Amazon prime na platforms nyingi
Dunia ile ile imetuletea Deezer, Audiomack, Boomplay and other
mie C.T.U nawaletea idea ya RASA (Radio as a service anywhere)
RASA ni nini? RASA ni software as a service cloud computing platform ambayo itakuwa inaunganisha radio stations na wasikilizaji wake kwa kutumia Artificial Intelligence argorithims
yaani ni platform ambayo itakuwa imetengenezwa kwa kutumia technology tatu hizo
Platform hiyo itakuwa inafanya kazi na radio stations kwa ku transfer mawimbi hayo kutoka studio na kusafirisha kwenye cloud system yetu then msikilizaji atakuwa anasikiliza kipindi kile intantly, msikilizaji atakuwa anauwezo wa kutoa maoni ya kipindi kile kwa kutumia platform anayosikilizia na kufika moja wa moja kwa mtangazaji kwenye computer yake pale studio
AI integration itamsaidia kuweza kuweza kupata ujumbe kipindi kipindi kikikaribia kuanza, hii itawasaidia watu ambao ni wapenzi wa radio VOA ya tabora kuweza sikiliza vipindi vya VOA instnantly popote duniani alipo LIVE na kuweza kutuma ujumbe mbalimbali wa maandishi na sauti kwa studio
kutakuwa na platforms mbili for radio stations and for listerners
for radio stations ni software itakayokuwa installed kwenye computer ya studio ambapo mtangazaji atakuwa anaongea na kusikika moja kwa moja na watumiaji wa RASA for listerners kupitia simu zao za kiganjani
kwa radio stations itasaidia kwanza kuweza kusikika duniani na kwa watu wengi Zaidi lakini pia zile streamings ambazo zitakuwa zinasikilizwa na watu mbalimbali duniani ni hela kwani wanaweza kulipwa as loyalty na RASA (hii ni ishu nyingine kabisa)
kwa Tanzania hii project ni ngumu sana kuinuka na kuwa kubwa so italazimu kuhamia marekani kwa ajili ya execution ya product na kuanzisha kwa marekani lengo ni kuweza kukua kwa haraka na kwa muda mfupi
hivyo basi ili kuweza kuleta ubobezi katiika platform hii development center itafunguliwa Santa Monica, CA
why santa Monica? ikumbukwe kwamba Los Angels ndipo heart ya media technology duniani so kwa ajili ya ku acces best talent, right ventures etc ambapo kwa kuanza tutachukua ofisi katika wework co working with 10 hired engineers specialized in cloud computing, saas and AI
Hivyo basi katika kuanza tutaanza MVP katika radio stations 50 zilizopo Los Angels then tuta move kwenda maeneo mengine na miji mingine hivyo kwa kuanza tutahitaji $4M as seed investment kwa ajili ya
1) Office at we work santa monica for 1 year
2) Team and developing the platform for the
3) preliminary expenses
MVP ikifanikiwa tuta rise other venture funds with series A etc
Nakaribisha maoni