Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,432
- 7,092
Labda...Soma sheria za Kenya kuhusu human trafficking ndio utajua shida ambazo zinamkabili huyu mama Mtanzania na kama atatoka jela.
Tazama hio video , anasema pesa ya Kenya ina nguvu akirudi bongo ndio maana wanakuja Kenya kuomba.
Alafu nchi zote zimeendelea hua na shida na immigrants. Watu hupotea nchi maskini na kwenda nchi tajiri. Not vice-versa.
Huwezi pata mkenya akiomba omba Tanzania au nchi yeyote East&Central Afrika, wakenya walio hizi nchi ni skilled ama wanabiashara.
Ila huyo mama hata muonekano na lafudhi ni mkenya..