Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 22
Wanajamaii nimepitia pitia kwenye internet niakakutana na kitu kinaitwa CIA fact book. NIkajaribu kutafuta information kuhusu nchi yangu Tanzania, kweli nilichokutana nacho huko hata mimi mwenyewe sikifahamu wala sijawahi kukijua.
Hii inamaanisha Wenzetu wamarekani wanaifahamu nchi yetu vizuri hata kuliko sisi wenyewe tunavyojijua. Tena hapo wameielezea kwa uchache tu. Hebu angalia hio link kuhusu Military ndio nimechoka kabisa...!
https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html#top
Hii inamaanisha Wenzetu wamarekani wanaifahamu nchi yetu vizuri hata kuliko sisi wenyewe tunavyojijua. Tena hapo wameielezea kwa uchache tu. Hebu angalia hio link kuhusu Military ndio nimechoka kabisa...!
https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html#top