Leta ushahidi wa hayo yote na ushahidi wa kufungiwa maisha.
Achana na porojo za mitandao.
Jangili yupi alishikwa kwa kuuwa digidigi?
Ukishindwa kuleta ushahidi basi ujijuwe kuwa wewe ni fataani.
Una maana kukurupuka?Kuongeza VAT ghafla
Hakuma=Hakuna?Hakuma kinachoshindikana.Penye dili pana nia.Hii ndio Tanzania.
Jee, unaamini kuwa Lema alilawitiwa?
Umetazama video vizuri au umepigwa upofu kwa muda? Tuache matani kwenye mambo ya msingi.Wangekuwa mabwana zetu wa kizungu wwamekumbatia mnyama tungewasifu sana, lakini kwa kuwa tu ni Mwarabu basi inakuwa mwao tena kwa uongo uliozushwa na hao hao wazungu kwa kukosa kitalu.
Na mijuha humu inasherehekea.
Kweli mkuu ni hakuna.Hizi simu ambazo kipadi ya m na n ziko pamoja kazi kweli.Ila ni raha ukiandika neno MNOHakuma=Hakuna?
Jee, unaamini kuwa Lema alilawitiwa?
FaizaFoxy, soma The wildlife conservation Act, 2009; Section 67(1) (a) and (b).
View attachment 361855
Hebu fafanua kale kafamilia katukufu kaliko jaa najisi kibao,ni kafamilia kapi?Wewe na bibi yako apo juuu mumelogwa na aliyewaloga alishakufaga siku nyingi!!
Majuunuuun kabisa,kisa tu kale kafamilia katukufu kaliko jaaa najisi kibao kametajwa then umepanic unamshambulia mleta uzi siuende ukaulizie uko wizarani basi km ni kweli au hapana!!huna uzalendo hata chembe wkt unaona kabisa kuna ukiukwaji mkubwa wa haki za wanyama etc!
Nawe unatokwa povu kwa kuwa hao jamaa ni waarabu ambao wengi wao ni ndugu zako ktk imaan?Wangekuwa mabwana zetu wa kizungu wwamekumbatia mnyama tungewasifu sana, lakini kwa kuwa tu ni Mwarabu basi inakuwa mwao tena kwa uongo uliozushwa na hao hao wazungu kwa kukosa kitalu.
Na mijuha humu inasherehekea.