Kibunango
JF-Expert Member
- Aug 29, 2006
- 8,365
- 2,178
Timu ya Bongo FC ya Finland jana iliweza kuingia fainali ya kombe la Prevention ilipoweza kuifunga Guinea kwa mabao 2-1. Sasa Bongo FC itakutana na Nigeria katika fainali itakayochezwa siku ya Jumamosi katika jiji la Helsinki.
Katika mzunguko wa kwanza wa makundi Bongo FC iliweza kuifunga Nigeria kwa mabao 3-2. Wachezaji wa Bongo FC wamenukuliwa wakisema kuwa wana uhakika wa kuifunga tena timu ya Nigeria.
Mmoja wa washabiki wa Bongo FC akifurahia ushindi
Wachezaji wa Bongo FC wakipasha misuli moto kabla ya mpambano
Wadau wa Bongo FC wakitafakali ushindi dhidi ya Guinea na kupanga mikakati ya mpambano wa Fainali...
Katika mzunguko wa kwanza wa makundi Bongo FC iliweza kuifunga Nigeria kwa mabao 3-2. Wachezaji wa Bongo FC wamenukuliwa wakisema kuwa wana uhakika wa kuifunga tena timu ya Nigeria.




Last edited: