ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,004
- 9,081
Sidhubutu kucomment chochote hapa Mungu tusaidie
Taga limejitokeza ๐ ๐Taga la kwanza hili...๐๐
Sidhubutu kucomment chochote hapa Mungu tusaidie
Taga limejitokeza ๐ ๐Taga la kwanza hili...๐๐
Atuepushe!!
Ni kweli lakini tukiangalia kwa undani zaidi tungepata kiongozi wa kukurupuka katika kipindi mile cha corona tungeongea vingine sasaHatimae wazungu wamemuelewa magu
Wacha wee kumbe nalo ni lakujivunia aisehh
Evolution on progress ๐๐ hapana bro sisi ni taifa teuleLabda ndo nchi pekee ambayo bado wananchi wake hawajawa binadamu kamili!!
asante soma mrejesho wa yule jamaa aliyesema lazima wamwelewe tu ndo utaelewa hapoHebu jisome vizuri naona kama milembe inakuhusu hivi!!
Swadakta....Ni kweli lakini tukiangalia kwa undani zaidi tungepata kiongozi wa kukurupuka katika kipindi mile cha corona tungeongea vingine sasa
Angalia marekani Biden kasema asipopewa kile kitengo cha corona mapema wataendelea kufa sana
Tupia link ya huo mrejesho ili kila mtu asuuze macho.asante soma mrejesho wa yule jamaa aliyesema lazima wamwelewe tu ndo utaelewa hapo
Mwengine huyooo...Japo sometime anajielewa sometime hazisomi๐๐..Mr Jumbe.Mtaga watasema kazi yake Magufuli๐๐๐.
Taga la kwanza hili...๐๐hata kama wasingemwelewa ila siku zote mwenye akili anafaulu darasani mambo ya kusema una akili alafu kila siku 0 hakuna hiyo...lazima wamwelewe tu na tafiti zao za kijuha ziendelee
...Corona imeigeuza dunia na kuleta advantages kwa politicians.KUJIFUKIZA....
KUMUOMBA MWENYEZI MUNGU SANA....
COURAGE TULIYONAYO dhidi ya huo ugonjwa....
Hongera zake AMIRI JESHI WA MAJESHI YA ULINZI kwa kututia moyo pale mwanzo!!!
Sasa kama sio ya Magufuri ni ya baba yako....?? Magufuri ndiye mtu wa kwanza kuona juu ya hili na kutuhabarisha Watz tupige kazi na maombi yaendelee Huku BAADHI ya WATU wakituogopesha lakini JPM Pekee ndiye aliyekuwa mfariji wetu Mbona haukutokea wewe !!Acha umamaTaga la kwanza hili...