Bikomabilioni
Member
- Nov 10, 2018
- 46
- 33
Benki ya Rand Merchant (RMD), Benki ya huduma za kifedha ya Afrika Kusini imewasilisha orodha ya nchi 10 zinazovutia zaidi kwa wawekezaji mwaka 2019. Tanzania ni miongoni mwa nchi hizo ikiwa imeshika namba 7 kati ya nchi 10 zilizoainishwa.
Hatuna budi kuipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kutengeneza mazingira mazuri ya uwekezaji nchini. Tuendelee kuiunga mkono serikali yetu kwa kudumisha Amani na Umoja ili kuvutia uwekezaji zaidi na zaidi.
Hatuna budi kuipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kutengeneza mazingira mazuri ya uwekezaji nchini. Tuendelee kuiunga mkono serikali yetu kwa kudumisha Amani na Umoja ili kuvutia uwekezaji zaidi na zaidi.