YOU DON'T ABOUT ANYTHINGHaha, huu sio mkopo kama ule unokopa kununua furniture dukani. Interest rate is manageable and fixed, tuna miaka 20 kulipa huu mkopo. Na nani atakukopesha kama hana uhakika na hali yako ya kiuchumi? Banks are not that reckless.
Hivi wewe kwa akili yako ukienda benki ya biashara kuchukua mkopo au bank over draft (wenye riba ya kibiashara) kwa ajili ya kujenga nyumba yako au kiwanda chako, hizo pesa utakazochukua zitakuwa ni za kwako au ni za nani? Unataka kusema hizo fedha zinakuwa bado ni za hiyo benki?Wakati wa uzinduzi wa reli hii, rais Magufuli alisema hii reli ya kisasa inajengwa kwa fedha za ndani.
Haha, huu sio mkopo kama ule unokopa kununua furniture dukani. Interest rate is manageable and fixed, tuna miaka 20 kulipa huu mkopo. Na nani atakukopesha kama hana uhakika na hali yako ya kiuchumi? Banks are not that reckless.
Lakini si ni mkopo, maana yake utalipwa. So still itakuwa ni pesa ya ndani.
Sisi watanzania hatuna shida pesa za ndan au nje....labda wewe mkimbizi ambaye ikikamilika ndo utatanguliza ngoko zako hukoNyinyi inawasaidia kitu gani mnavyo jibaraguza kuwa mnaijenga kwa fedha zenu za ndani?
In God we Trust
Wanaoidai Marekani kwa kiwango kikubwa ni mabenki na taasisi za ndani ya Marekani..
Samahani, kuandika kwa haraka bila kuipitia tena kuona ikoje.Hatukuelewi una mana gan ni kwamba huamini kama hivyo vimefanyika kwa hela yetu ya ndan au vp
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hizo risk zina levels, high, mid and low.
Lakini inabidi kujiuliza maswali kabla ya kurukia mambo, how much risk can we take.