tofauti na wengi wanavyojua,tanzania imeanza kutajwa na mitandao mbalimbali kati ya vikosi 35 bora zaidi duniani kwa vifaa bora,mafunzo sahihi na uwezo wa kupigana kwenye mazingira yoyote,dunia imeshangazwa na ufanisi wa jwtz kongo kwani chini ya kapeti rwanda haikukubali kirahisi m23 kushindwa,na ni nchi pekee kutoka africa huku asia ikitoa nchi kadhaa,sasa tanzania inawekwa level moja na seal ya usa,special force ya israel na wakali wengine,
source clouds fm na website mbalimbali
aisee, nlijua tu huu ni udaku. sikutaka ku-log in, ila ilibidi ili tu nicomment
hujasikiliza vizuri kama kweli wamesema hivyo wamekudanganya ukitaka kupata ukweli ingia google hata katika nchi bora 10 zenye jeshi zuri africa haimo mkuu.
Mkuu mbona unaongea mambo kama mtu aliyeshindia uji tu.Source yako ni clouds fm, hao wanajua umbeya na kuusifia watu , wao na masuala ya kijeshi wapi na wapi? Acheni kutii aibu jukwaa hili
Yale maonyesho ya watu waliokomaa pale uwanja wa Shamba la bibi, kumbe yametupandisha chati eeh...
Kitu ambacho watu hawakijui ni kuwa hizi ranks hutolewa Kama zile za FIFA yaani kuna zile nchi ambazo Wao majeshi Yao ni the best of all the time na nyingine ni mpaka wapige mechi kadhaa, Kama mechi ambayo Tanzania tuliipiga nchini Congo DRC hivi karibuni ndiyo imetupandisha na wametusifu na hivi punde US and UN watatupangia mechi nyingine nchini Somalia na Boko Haram Nigeria.Tanzania Army is the best army in Africa....hilo ndio fact....matatizo yetu mengine tutayajadili kwenye mada zingine......kuna mjadala nilikuwa nafatilia hata comments nyingi za Wanaigeria walikuwa wanakiri Tanzania tuna jeshi bora....hasa kichapo walichopata M23 kimetupaisha sana plus historia nzuri ya jeshi letu.
Wacha kudanganya watu wewe.
Clouds fm wadaku tu, hawana lolote.
Vipindi vyao vingi ni kutongozea watu tu. Na uchafu wa kuharibu jamii.
Jeshi bora wangechoma kambi nzima na kuuwa wananchi bila mpango?
Mabomu wameyahifadhi kama nyanya! Na maafande wenyewe asilimi 90% wavuta bangi. Ukipishana nao macho mekunduu ka nyani kanyimwa ndizi.
Tuombe Mungu tu! Lkn wakija wazee wa gasia hapo bongo hilo jeshi njaa litauwa raia wengi kuliko maadui.
Kama wale wajaluo wa kenya na ile issue ya west gate.
Mkuu mbona unaongea mambo kama mtu aliyeshindia uji tu.
Kitu ambacho watu hawakijui ni kuwa hizi ranks hutolewa Kama zile za FIFA yaani kuna zile nchi ambazo Wao majeshi Yao ni the best of all the time na nyingine ni mpaka wapige mechi kadhaa, Kama mechi ambayo Tanzania tuliipiga nchini Congo DRC hivi karibuni ndiyo imetupandisha na wametusifu na hivi punde US and UN watatupangia mechi nyingine nchini Somalia na Boko Haram Nigeria.
Kitu kingine ni lazima watanzania waamini na kukubali kuwa kesho lao kwa Sasa ni bora kuliko Uingereza, China, Urusi, Israël, Misri, India, Italy, German, North Korea, Cambodia, Colombia, Pakistan, na nchi nyinginezo Kama List inavyoonyesha. Tanzania yupo imara sana Kijeshi.
Wacha kudanganya watu wewe.
Clouds fm wadaku tu, hawana lolote.
Vipindi vyao vingi ni kutongozea watu tu. Na uchafu wa kuharibu jamii.
Jeshi bora wangechoma kambi nzima na kuuwa wananchi bila mpango?
Mabomu wameyahifadhi kama nyanya! Na maafande wenyewe asilimi 90% wavuta bangi. Ukipishana nao macho mekunduu ka nyani kanyimwa ndizi.
Tuombe Mungu tu! Lkn wakija wazee wa gasia hapo bongo hilo jeshi njaa litauwa raia wengi kuliko maadui.
Kama wale wajaluo wa kenya na ile issue ya west gate.
Tanzania ina wanajeshi hodari hasa wale wa klauds akina djjy fetty na mchomfu wanagonga mbayaSource yako ni clouds fm, hao wanajua umbeya na kuusifia watu , wao na masuala ya kijeshi wapi na wapi? Acheni kutii aibu jukwaa hili
Tanzania Army is the best army in Africa....hilo ndio fact....matatizo yetu mengine tutayajadili kwenye mada zingine......kuna mjadala nilikuwa nafatilia hata comments nyingi za Wanaigeria walikuwa wanakiri Tanzania tuna jeshi bora....hasa kichapo walichopata M23 kimetupaisha sana plus historia nzuri ya jeshi letu.