Tanzania yaongoza duniani kwa thamani ya miamala ya mobile money

Tanzania yaongoza duniani kwa thamani ya miamala ya mobile money,

Hii inaonesha namna Tanzania ilivyo na uchumi mkubwa na shughuli nyingi za kiuchumi ukanda huu kutokana na thamani ya transactions za pesa kwenye mzunguko kuwa kubwa kuliko Taifa lolote ukanda huu wote

Hongereni Tanzania kwa kuwa na uchumi halisi na sio wa kwenye makaratasi wala wa kupika.

View attachment 1631890View attachment 1631891
Mkiwa mnajadili suala lololote linalohusu nchi, pia muangalia na sababu tofauti tofauti zinazochangia uwepo wa wa hizo tofauti. Population ni kigezo kimoja wapo cha sababu ya Tanzania kuizidi Kenya mihamala ya mobile money.


1606039042929.png
1606039061043.png
 
Mm sijaelewa mtoa mada, juu umeandika duniani maelezo mengine unasema ukanda huu ,Kwaiyo tunaongoza duniani au Africa masharik
 
Very expensive indeed to transact through mobile monies than convetional bank transfers. Imagine, withdarwing a 200,000 Tshs costs Tsh 5,000.
So horrible.
Sasa hv ukirogwa uweke laki mbili kwenye simu jua sio hela yako yote....
kuna bonge la exploitation flani hv.....
 
Sasa hv ukirogwa uweke laki mbili kwenye simu jua sio hela yako yote....
kuna bonge la exploitation flani hv.....
Internet and airtime service providers do exploit us so much. Seems like they have forgotten their primary business and put efforts into m-moneies.
 
Hii inaonesha namna Tanzania ilivyo na uchumi mkubwa na shughuli nyingi za kiuchumi ukanda huu kutokana na thamani ya transactions za pesa kwenye mzunguko kuwa kubwa kuliko Taifa lolote ukanda huu wote
Hizo takwimu kawadanganye wajinga!
 
Tanzania yaongoza duniani kwa thamani ya miamala ya mobile money,

Hii inaonesha namna Tanzania ilivyo na uchumi mkubwa na shughuli nyingi za kiuchumi ukanda huu kutokana na thamani ya transactions za pesa kwenye mzunguko kuwa kubwa kuliko Taifa lolote ukanda huu wote

Hongereni Tanzania kwa kuwa na uchumi halisi na sio wa kwenye makaratasi wala wa kupika.

View attachment 1631890View attachment 1631891

Hili nalo wapinzani watalipinga. Subiri uone
 
M-pesa wanishukuru sana, mana kwa July tuu nmefanya miamala ya jumla ya sh 2T
 
Naomba kuuliza mobile money ndo njia pekee kubwa ya kufanta transactions?plus mi navojua uchumi was nchi unapimwa hifadhi ya fedha za kigeni je hizo transactions ni za nje Zaid kuliko ndani?
 
Na sababu ya kufikia hiyo $4.1B ni kutokana na Corona restrictions kuwa juu sana wakati Tanzania Ina zaidi ya $5B at normalcy, maana yake kama na sisi tungekua na strictly restrictions tungeshoot mpaka $8B sababu automatically uchumi wetu ni mkubwa kuliko wao.
Miamala sio uchumi
 
Back
Top Bottom