Tanzania yaomba EAC iingilie kati katika kuzuia mipango ya Kenya kujenga bwawa Mara

Haha
Kenya imepakana na nchi tano, na zote hizo zinakwaruzana na Kenya, huo ustaarabu ni upi?. Tanzania tumepakana na nchi nane, zote tunaishi kwa Amani, husikii Zambia, Malawi, DRC, Burundi, Rwanda au Uganda wsliofunga mpaka na kuchoma matairi barabarani isipokua Kenya.
Hahahahah nenda burundi na rwanda uone walivyodhulumiwa ngombewao, nenda uganda uone wanunuzi wa kahawa walivyodhulumiwa,, nenda zambia uone wafanyabiashara wa mpakani waliovunjiwa vibandavyao, nenda msumbiji uone dhuluma ya korosho wee kaa dar mvua inanyesha
 
Kasome
Kasome tena jigrafia wewe , maji ya tsavo yanatoka mto galana na mto tana, maji ya kilimanjaro yote yanaangukia tanzania, ugomvi tunaanzaisha sisi , bahati kenya wana rais mstaarabu sana hata nairobi licha ya alshabaab anendesha gari mwenyewe, haihitaji platooon ya ulinzi, helivopter mbili, magari 200, ndege moja, midude ya kivita kwenda kuongea na wananchi wake
n
Umenena mwenye sikio asikie mwenye jicho aone mwenye akili azingatie
 
Haha
Hahahahah nenda burundi na rwanda uone walivyodhulumiwa ngombewao, nenda uganda uone wanunuzi wa kahawa walivyodhulumiwa,, nenda zambia uone wafanyabiashara wa mpakani waliovunjiwa vibandavyao, nenda msumbiji uone dhuluma ya korosho wee kaa dar mvua inanyesha
Mbona hawafanyi fujo?, hao ndio wastaaarabu, sio Kenya.
 
Where are those jets? Ama you own them in words?
Tanzania owns 14 J-7 Fighter jets, which have got hot spots capable to carry lessar gaided missile, these planes are New and Modern second Generation with Maximum speed of 2200KM/hr, we can easily destroy that dam, if you try to construct it.
 
Kenya imepakana na nchi tano, na zote hizo zinakwaruzana na Kenya, huo ustaarabu ni upi?. Tanzania tumepakana na nchi nane, zote tunaishi kwa Amani, husikii Zambia, Malawi, DRC, Burundi, Rwanda au Uganda wsliofunga mpaka na kuchoma matairi barabarani isipokua Kenya.
Mnaishi kwa Amani na majirani ndani jealous kutwa kuwateka raia zako mwenyewe na kuwatesa HEBU ONA AIBU
 
Tanzania kama inateka, basi Kenya inauwa raia wake, kumbuka POLISI wa Kenya wanaongoza Afrika kwa kuua watu hovyo hovyo, unadhani hao watu wanaowaua ni raia wa nchi gani kama sio wakenya?
Unavuna free press ya kenya, hapa huna freedom hiyo , kwa hiyo unafananisha mbwa na mbweha
 
In an act of sovereignty, we should not allow Tanzania to lecture us on our development plan or the environment. The water of the mara river originate from kenya we should use it and put our interest first before any other country. This is why we need a bigger and better military just in case somebody wants to play with our national interests.
Tanzania owns 14 J-7 Fighter jets, which have got hot spots capable to carry lessar gaided missile, these planes are New and Modern second Generation with Maximum speed of 2200KM/hr, we can easily destroy that dam, if you try to construct it.

Battle za kijinga
 
Kasome
Kasome tena jigrafia wewe , maji ya tsavo yanatoka mto galana na mto tana, maji ya kilimanjaro yote yanaangukia tanzania, ugomvi tunaanzaisha sisi , bahati kenya wana rais mstaarabu sana hata nairobi licha ya alshabaab anendesha gari mwenyewe, haihitaji platooon ya ulinzi, helivopter mbili, magari 200, ndege moja, midude ya kivita kwenda kuongea na wananchi wake
n

Fool See the source of Galana
800px-Tsavo_national_park_map_en.png
 
In an act of sovereignty, we should not allow Tanzania to lecture us on our development plan or the environment. The water of the mara river originate from kenya we should use it and put our interest first before any other country. This is why we need a bigger and better military just in case somebody wants to play with our national interests.

Ahaaa haaa haaa
Guys read the laws that govern the riparian rights.
 
Haha
Hahahahah nenda burundi na rwanda uone walivyodhulumiwa ngombewao, nenda uganda uone wanunuzi wa kahawa walivyodhulumiwa,, nenda zambia uone wafanyabiashara wa mpakani waliovunjiwa vibandavyao, nenda msumbiji uone dhuluma ya korosho wee kaa dar mvua inanyesha

Ahaaa haaa haaa
Jukwaa hili ni la facts and figures from credible authority.
Please cite the authority for your assertion.
 
Just post the jets here I want to see them.
Here we go
 
Back
Top Bottom