sodoliki
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 2,593
- 2,016
Haha
Hahahahah nenda burundi na rwanda uone walivyodhulumiwa ngombewao, nenda uganda uone wanunuzi wa kahawa walivyodhulumiwa,, nenda zambia uone wafanyabiashara wa mpakani waliovunjiwa vibandavyao, nenda msumbiji uone dhuluma ya korosho wee kaa dar mvua inanyeshaKenya imepakana na nchi tano, na zote hizo zinakwaruzana na Kenya, huo ustaarabu ni upi?. Tanzania tumepakana na nchi nane, zote tunaishi kwa Amani, husikii Zambia, Malawi, DRC, Burundi, Rwanda au Uganda wsliofunga mpaka na kuchoma matairi barabarani isipokua Kenya.