Tanzania yanunua tena 35% ya TTCL

Tanzania yanunua tena 35% ya TTCL

bukoba boy

​Msisahau kwamba serikali ilizikodisha hizo hisa,jamani hivi hisa hukodishwa au huuzwa?nani alikodisha?jana kuna watu walihoji hili BUNGENI
 
Last edited by a moderator:
Tunawajua kina Joseph Makamba, Joseph Kighoma, Mbaruk Mwandoro, Juma Mwapachu na kaka yake etc

Nnaomba tutajie majina ya mashirika waliokuwa wakiongoza hao uliowataja na kwanini wao hawajapendelewa?
 
Si lilikuwa la Serikali 100%?

Litakufa tena likirudi 100% kwa serikali. No doubt.

Yah uongozi wa JK umeua mashirika. Leo mashirika kama Vietell ya vietnam kayaita kuja kuwekeza kwetu katika sekta ya mawasiliano.
 
Yah uongozi wa JK umeua mashirika. Leo mashirika kama Vietell ya vietnam kayaita kuja kuwekeza kwetu katika sekta ya mawasiliano.

Naam, nnakubaliana na wewe 100% kuwa uongozi wa Julius Kambarage umeuwa mashirika ya umma yote uliyoyaanzisha, aliyotaifisha (dhulumu) na aliyoyakuta.
 
Naam, nnakubaliana na wewe 100% kuwa uongozi wa Julius Kambarage umeuwa mashirika ya umma yote uliyoyaanzisha, aliyotaifisha (dhulumu) na aliyoyakuta.

Tehe tehe kijana wa msoga yeye ndio kama ivyo kaitafuna nchi anamwandalia njia na jamaa ake mwenye mvi nae aje ale.
 
Tehe tehe kijana wa msoga yeye ndio kama ivyo kaitafuna nchi anamwandalia njia na jamaa ake mwenye mvi nae aje ale.

Ulikuwepo wakati Mwinyi anawachiwa nchi na Nyerere? na ukaisikia hotuba ya Mwinyi ya "mikuki miwili" muda mfupi baada ya kukabidhiwa nchi?
 
Ulikuwepo wakati Mwinyi anawachiwa nchi na Nyerere? na ukaisikia hotuba ya Mwinyi ya "mikuki miwili" muda mfupi baada ya kukabidhiwa nchi?

Faiza Foxy inapokuja element ya dini uelewa wako wote wa mambo unapotea. Fact is Mwinyi was worst president every in Tanzanias history, si kwa sababu ya dini. Incompetence.
 
Faiza Foxy inapokuja element ya dini uelewa wako wote wa mambo unapotea. Fact is Mwinyi was worst president every in Tanzanias history, si kwa sababu ya dini. Incompetence.

Udini ulete wewe useme FaizaFoxy. Majanga.

Huo "udini" uko wapi hapa:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Ulikuwepo wakati Mwinyi anawachiwa nchi na Nyerere? na ukaisikia hotuba ya Mwinyi ya "mikuki miwili" muda mfupi baada ya kukabidhiwa nchi?

Au umeshindwa kujibu maswali niliyouliza umekimbilia kujificha kwenye "udini"? Udini ndiyo ngao yako?

Jibu hoja, wacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
 
Last edited by a moderator:
bukoba boy

Ukitaka upate hasira wewe jiulize hizo hisa mwanzo ziliuzwa kwa Tshs (au USD) ngapi?

Then kokotoa faida (au hasara) iliyopatikana ni ngapi
 
Last edited by a moderator:
ttcl ni shirika lililouliwa na msomi dr. kilimbe kwa maelekezo ya rais mwanahabari. aidha kitengo cha ttcl mobile kilibadilshwa jina na kuitwa celtel ili wakamilishe wizi.
 
Tanzania shall forever be a poor country unless we elect patriotic leaders with vision.
Celtel came in TZ in early 2000s with nothing. To avoid the high cos of building the new Telecom infrastructure they bought 35% of TTCL stake at a very cheap price. Then they passed their data network through TTCL Satellites and towers.

They built they main switching centre nearby the main TTCL hub at Kijitonyama all this to avoid the high business start up cost. Later on to avoid taxes (They began their business under foreign companies tax exemption scheme) they sold their business to Zain, the same to avoid taxes sold their business to Airtel, even today airtel is still enjoying tax exemptions...and now th same 35% has been bought back at an unimaginable price...what a heck of a country Tanzania is??? we shall never learn nor grow as a country since the majority of masses are still poor and ignorant and i mean it most of tanzanians are ignorant
 
Ukitaka upate hasira wewe jiulize hizo hisa mwanzo ziliuzwa kwa Tshs (au USD) ngapi?

Then kokotoa faida (au hasara) iliyopatikana ni ngapi

Hata wao naona wamezirudisha kwa pesa ndogo,bilion 14 tu
 
nasikia hazina hawakukuta hata senti tano.

Si hilo tu.

Njaa nchi nzima, chakula hakuna. Mafuta ya magari foleni. Jumapili hakuna kunedesha gari, Watanzania wanavaa matairi ndiyo viatu hata kadambili hakuna. Foleni ya chakula, foleni ya nguo, foleni ya nyama na ng'ombe wote tulionao. Fikiri.

Halafu leo mtu ankuja kuponda utawala wa Kikwete? unakwenda dukani unachaguwa unataka kula mchele wa wapi, sembe ya wapi, kiatu kipi uvae. Una fedha za kigeni benki za kukutosha kununuwa chochote ukitakacho kwa miezi minne ijayo bila kuingiza hata senti tano. Leo unakopesheka kuliko wakati wowote ule.

Leo miaka 9 ya Kikwete unaweza kwenda kufanyiwa upasuaji wa moyo Muhimbili bila kupasuliwa kifua chote.

Watu hawayaoni yote hayo.

Bado watu wanakuja na habari za kufikirika.

Siwashangai, hata kitabu chao hao hao wanashindwa kukifata.

Utawaona ni wepi. Tazama.
 
Ukiwa na Omo moja na Golgate unaitwa mhujumu uchumi.Foleni za sukari,unga, sabuni, petroli kwa kibali kutoka manispaa, ,nguo madukani hamna, watu walisaga pipi nyeupe kupikia chai.Ukionekana na dola moja mhujumu. Ukitaka kusafiri nje lazima uombe kibali Benki Kuu na wapate approval Ikulu.
 
Ulikuwepo wakati Mwinyi anawachiwa nchi na Nyerere? na ukaisikia hotuba ya Mwinyi ya "mikuki miwili" muda mfupi baada ya kukabidhiwa nchi?

Unataka msafisha Mwinyi mzee wa ruksa!!?
 
Si hilo tu.

Njaa nchi nzima, chakula hakuna. Mafuta ya magari foleni. Jumapili hakuna kunedesha gari, Watanzania wanavaa matairi ndiyo viatu hata kadambili hakuna. Foleni ya chakula, foleni ya nguo, foleni ya nyama na ng'ombe wote tulionao. Fikiri.

Halafu leo mtu ankuja kuponda utawala wa Kikwete? unakwenda dukani unachaguwa unataka kula mchele wa wapi, sembe ya wapi, kiatu kipi uvae. Una fedha za kigeni benki za kukutosha kununuwa chochote ukitakacho kwa miezi minne ijayo bila kuingiza hata senti tano. Leo unakopesheka kuliko wakati wowote ule.

Leo miaka 9 ya Kikwete unaweza kwenda kufanyiwa upasuaji wa moyo Muhimbili bila kupasuliwa kifua chote.

Watu hawayaoni yote hayo.

Bado watu wanakuja na habari za kufikirika.

Siwashangai, hata kitabu chao hao hao wanashindwa kukifata.

Utawaona ni wepi. Tazama.


Unaboa Sana ungejua....
 
Back
Top Bottom