Chivundu
Platinum Member
- Dec 17, 2012
- 9,869
- 14,226
Kajipange upya.
Leo umeshinda.
Kajipange upya.
Udini ulete wewe useme FaizaFoxy. Majanga.
Huo "udini" uko wapi hapa:
By FaizaFoxy![]()
![]()
Ulikuwepo wakati Mwinyi anawachiwa nchi na Nyerere? na ukaisikia hotuba ya Mwinyi ya "mikuki miwili" muda mfupi baada ya kukabidhiwa nchi?
Au umeshindwa kujibu maswali niliyouliza umekimbilia kujificha kwenye "udini"? Udini ndiyo ngao yako?
Jibu hoja, wacha kuhororoja na kubwabwaja bila mpango.
Waliokuwa wanasimamia mashirika ya umma ni wale waliopewa upendeleao wa kusomeshwa na wakayaua yote. Na unawajuwa ni akina nani.