Duh! uchumi wenyewe wa kupigana vita ukowapi? vita ya Uganda tu zaidi ya miaka 30 na bado tunadaiwa na akina Ghadafi ingawaje wameshakufa...
Kwani Ghadafi alikuwa double agent wakati wa vita vya kagera...? Ninavyokumbuka ni kuwa alikuwa mshirika wa Amini...hadi wanajeshi wake walitekwa na akina mzee mti mkavu...wakafungwa vitambaa...busara ya Mwl Nyerere ilitoa msamaha...wale mamluki wakarudishwa kwao... Sasa iweze tuwe na Deni kwa Ghadafi??