Tanzania yadaiwa kujitoa kwenye Mahakama ya Afrika. Amnesty International na UN walaani hatua hiyo. Serikali yatoa ufafanuzi

Huu muungano wa EAC itakuwa hauna faida kwetu wananchi sasa ni kuishindikiza serikali ijitoe tu, hatutaki huu muungano
 
Hvi ni nan anaishauri serikali yetu kuhusu haya mambo?
 
We regret decision by Tanzania Govt to block individuals and NGOs from taking cases to African Court on Human & Peoples’ Rights. We urge Govt to reconsider. The Court is crucial for justice & accountability in Tanzania. - UN.

 
This time leaders are arrogance or conceit,

√ Their ears have been blocked, they can hear nothing.

√ Their eyes have been blinded, they can only see their own faces.
 
Mjiulize why us haipo ICC yaan madude mangine yapo kukandamiza nchi za kiafrika so bora tujiondoe tu
 
Endeleeni kulalamika kwenye mitandao,Igeni mfano WA Vijana Hon Kong
 
Serikali ina jumla ya viongozi wa juu 300 tu.
Je haya maamuzi ya kutoka tunaamua raia via Bunge? Au hao 300?

Km ni ivo kwa nini wawe wao? Na tunalipangaje hili la kujitoa, sisi km raia waathirika. Je tuandamane? Au twende UNO kudai?


Safi sana mimi napenda wanavo jiharibia publicity ya uongozi bora.

Wanazidi kuwa vituko tu mbele ya wana Duniani.
 
Sawa Lukoma nimekuwlew
A
 
Wamejitoa wao kwa faida zao siyo sisi.

Wengi humu hata hawakujua kuwa tuko huko
 
Lakini pia umoja wa mataifa nawao waangalie vitu vya kulaumu wasiwe "bias" kwa hili la Tz. Mara ngapi USA-Amerika inajitoa katika ku sign mikataba mbalimbali mbona hayo matamko ya Umoja wa Mataifa kuilani Amerika hatuyasikii au kwasababu tu Tz hii ni nchi ya africa?
 
Hapo unalinganisha kiroboto na ng'ombe, we unafikiri ni sawa eti kwa vile wote ni viumbe hai???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimelike alafu baadae nikajiuliza nime like sababu wamejitoa au nimelike sababu hicho kitendo kimelaaniwa na amnest + un au nimelike sababu hiyo habari sikuwa na ijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…