Toosweet
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 2,140
- 1,982
Kwenu,
Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, ametoa taarifa ya serikali kuhusu malengo ya kujenga Tanzania ya viwanda.
Kwa mujibu wa waziri, mpaka sasa tumefikisha viwanda 1285,sawa na 49% ya lengo ndani ya robo ya muda. Hii ni hatua nzuri lakini hesabu zake ni ngumu.
Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, ametoa taarifa ya serikali kuhusu malengo ya kujenga Tanzania ya viwanda.
Kwa mujibu wa waziri, mpaka sasa tumefikisha viwanda 1285,sawa na 49% ya lengo ndani ya robo ya muda. Hii ni hatua nzuri lakini hesabu zake ni ngumu.
