Tanzania ya Viwanda: Tumefikisha 49% ya lengo!

Tanzania ya Viwanda: Tumefikisha 49% ya lengo!

Toosweet

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2012
Posts
2,140
Reaction score
1,982
Kwenu,

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, ametoa taarifa ya serikali kuhusu malengo ya kujenga Tanzania ya viwanda.

Kwa mujibu wa waziri, mpaka sasa tumefikisha viwanda 1285,sawa na 49% ya lengo ndani ya robo ya muda. Hii ni hatua nzuri lakini hesabu zake ni ngumu.
 
IMG_3454.JPG



Basi sawa
 
Kweli nimeamini viwanda ni vyrehani. Kwanza walishasema tuna viwanda elfu tatu na ngapi sijui, sasa huyu anasema 1285! Ngoja aje kutumbuliwa sasa
 
Viwanda vya siku hizi ni kama upepo mbona havionekani ?

Hebu orodhesheni viwanda vilivyojengwa mfano Mkoa... Wilaya... Mtaa/Kijiji ili watu tupate picha halisi..

Hivyo viwanda vimetoa ajira ya watu wangapi mpaka sasa mfano skilled labour + unskilled labour wangapi wameajiriwa..
 
Kama tumefika nusu hali ni hivi tubadilishe hii sera haitatutoa na viwanda sio dili
 
Kwenu,

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo, ametoa taarifa ya serikali kuhusu malengo ya kujenga Tanzania ya viwanda.

Kwa mujibu wa waziri, mpaka sasa tumefikisha viwanda 1285,sawa na 49% ya lengo ndani ya robo ya muda. Hii ni hatua nzuri lakini hesabu zake ni ngumu.
Mimi mbona sielewi hapa nilipo mkoani sijaona hivyo viwanda zaidi ya vyazamani natena havifanyi kazi au wanamdanganya mkulu ati 49% mbona hizo ajira za viwanda atuja sikia zikitangazwa hapa mkoani
 
Tujipongeze kwa kuanza hatua na kutambua viwanda.Hatua moja huanzisha nyingine.Ndondondo si chururu,tutafika.Sasa tuna pata picha viwanda na changamoto zake ambazo wakuu mikoa wameibua,umeme na miundombinu, mradi mkubwa Stiglas gouge na reli mpya tutamuelewa mkuu.
Nashauri bajeti ijayo ushuru mfano toilet paper,vijiti meno nk vitozwe ushuru300% kuzuia tuamshe vywa ndani.Serikali iunge mkono viwanda kwa makusudi.
 
Back
Top Bottom