Jambo moja linanitatiza, kama viwanda havijengwi, hili ni tatizo la nani? Serikali, CCM au sisi wananchi? Juu ya kufufua viwanda vilivyokuwepo hilo sina shaka serikali inawajibika 100%. Je sisi wananchi hatuna wajibu wa kuanzisha hivyo viwanda vipya? Au watanzania tunamjomba huko ughaibuni atakayetujengea viwanda? Nafikiri watanzania tunashida mahali!Tanzania ya viwanda itakuwa hii hata kiwanda cha kutengeneza baiskeli za mkulima hawawezi shenzi type
Kula tanoTanzania ya viwanda itakuwa hii hata kiwanda cha kutengeneza baiskeli za mkulima hawawezi shenzi type
Jambo moja linanitatiza, kama viwanda havijengwi, hili ni tatizo la nani? Serikali, CCM au sisi wananchi? Juu ya kufufua viwanda vilivyokuwepo hilo sina shaka serikali inawajibika 100%. Je sisi wananchi hatuna wajibu wa kuanzisha hivyo viwanda vipya? Au watanzania tunamjomba huko ughaibuni atakayetujengea viwanda? Nafikiri watanzania tunashida mahali!
Utafiti, upembuzi yakinifu na hadidu za rejea ili kuwezesha mpango mkakati wa ukamilishaji mchakato wa kukihuisha kiwanda hicho havijakamilika.Pamoja na hamasa zote hizi....Nauliza kulikoni juu ya kufunguliwa tena kilichokuwa kiwanda cha general tyre???
baada ya awamu ya 50 ya uraisPamoja na hamasa zote hizi....Nauliza kulikoni juu ya kufunguliwa tena kilichokuwa kiwanda cha general tyre???
usisahau tuna kiwanda cha kuchinja punda dodoma,ni sisi tz tu hapa duniani na ahera.Kula tano
Inategemea upande mmoja upo sawa,lakini unaposema wanainchi wajenge viwanda unamaanisha nini kweli...Jambo moja linanitatiza, kama viwanda havijengwi, hili ni tatizo la nani? Serikali, CCM au sisi wananchi? Juu ya kufufua viwanda vilivyokuwepo hilo sina shaka serikali inawajibika 100%. Je sisi wananchi hatuna wajibu wa kuanzisha hivyo viwanda vipya? Au watanzania tunamjomba huko ughaibuni atakayetujengea viwanda? Nafikiri watanzania tunashida mahali!
Poa poausisahau tuna kiwanda cha kuchinja punda dodoma,ni sisi tz tu hapa duniani na ahera.
Mkuu Mtambwe, nimekuelewa vizuri sana, na ulichosema kuhusu serikali kuweka mazingira wezeshi na rafiki ni jambo la msingi kabisa na nakuunga mkona mia kwa mia.Nafikiri Mzee unatatizo, Serikali jukumu lake sio kufufua wala Kujenga viwanda vipya. Serikali inatakiwa itengeze Policy itayowavutia wawekezaji.
Wewe unafikiri Nchi za Europe Kama Ujerumani wanafunga viwanda vyao na kujenga China kwa sababu gani?
1. Wamepewa Garantee ya Mtaji wao.
2. Wanapata chip labour ukilinganisha na Europe
3. Wanapata Malighafi kwa bei rafiki
Sasa Serikali ilikuwa ikae iweke mikakati, kwa wajiulize kwa mazingira yapi tunaweza kuyaweka tukawapiku Wachina?
Tatizo la pili za Serikali zetu hawelewi ni Kitu gani kinapatikana Nchini, na Kitu gani tuagize nje.
Utakuta waziri anayejiita Mzalendo, anatia sahihi mkataba wa kujenga hicho kiwanda, lakini wafnyakazi wote wanatoka nje ya nchi na Serikali inaangalia tu
Pamoja na hamasa zote hizi....Nauliza kulikoni juu ya kufunguliwa tena kilichokuwa kiwanda cha general tyre???
Sasa nafikiri umeingia pale hasa nilipokuwa napataka. Umesemwa viongozi wote tunawachagua wenyewe nakubaliana na wewe 100%. Lakini suala la msingi ni kujiuliza ni Kiongozi ambaye Baada ya Kumchagua anawajibika tena kwetu sisi? Jibu ni kwamba hakuna.Mkuu Mtambwe, nimekuelewa vizuri sana, na ulichosema kuhusu serikali kuweka mazingira wezeshi na rafiki ni jambo la msingi kabisa na nakuunga mkona mia kwa mia.
Ni kutokana na muktadha huo ndiyo maana nilisema kuwa sisi wananchi nafasi yetu ni ipi, maana tunalaumu sana, lakini sisi tunafanya nini? Serikali ni watu wanaotoka miongoni mwetu, wengi wanapata mamlaka waliyonayo toka kwetu wenyewe, mfano wabunge wanaopitisha sheria na bujeti ya taifa tunawahoji hayo?
Ukweli ni kuwa mazingira ya uwekezaji wa viwanda kwa wazawa ni magumu mno lakini pia kukaa na kufikiri serikali itabadilisha mambo bila sisi wananchi kudai mabadiliko, tutasubiri sana! Tuache kulalamika, tuchukue hatua sasa, wanasiasa wana ajenda zao tofauti hawata tusaidia sana.
Kama nawewe unatamani kuwa sehemu ya mabadiliko tuungane, sisi tumeshaanza kuchukuwa hatua, tafadhali tutembelee hapa ESTA -TANZANITE CITY OF TECHNOLOGY & INNOVATION: MBEYA tusaidiane; imoja ni nguvu!