Tanzania ya Nyerere sio hii

Tanzania ya Nyerere sio hii

Goliath mfalamagoha

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2012
Posts
601
Reaction score
2,508
Watu wasiojulikana;
1. Walimteka Roma
2. Walimpiga risasi Tundu Lissu
3. Walilipua ofisi za wakili Fatma Karume
4. Walilipua ofisi za wakili wa Manji
5.Wanatupa miili ndani ya viroba Coco beach
6.Wamemteka mwandishi wa habari Pwani.
7.Walimteka Ben wa Saanane.
8.Walimtisha Nape kwa bastola.
Ongeza matukio mengine ya wasiojulikana kuona Tanzania yetu Leo.
 
Watu wasiojulikana;
1. Walimteka Roma
2. Walimpiga risasi Tundu Lissu
3. Walilipua ofisi za wakili Fatma Karume
4. Walilipua ofisi za wakili wa Manji
5.Wanatupa miili ndani ya viroba Coco beach
6.Wamemteka mwandishi wa habari Pwani.
7.Walimteka Ben wa Saanane.
8.Walimtisha Nape kwa bastola.
Ongeza matukio mengine ya wasiojulikana kuona Tanzania yetu Leo.
Yanatosha kumpeleka mtu ICC
 
Back
Top Bottom