Tanzania vs kenya MGOGANO WA KIMASLAHI

Tanzania vs kenya MGOGANO WA KIMASLAHI

galaxy jose

Member
Joined
Jun 19, 2019
Posts
5
Reaction score
9
Kwa kauli za wabunge wawili wa kenya juu wa watanzania waishio kenya kupata nafasi ya kufanya biashara mf. Kuuza matunda/maduka, wakenya waishio tanzania kukosa ajira.... inaonekana kuna mgongano wa kimaslahi kati nchi hizi mbili. Hii ni kwa raia mmoja mmoja, makubaliano ya kiserikali, na kubiashara.
 
Kwa kauli za wabunge wawili wa kenya juu wa watanzania waishio kenya kupata nafasi ya kufanya biashara mf. Kuuza matunda/maduka, wakenya waishio tanzania kukosa ajira.... inaonekana kuna mgongano wa kimaslahi kati nchi hizi mbili. Hii ni kwa raia mmoja mmoja, makubaliano ya kiserikali, na kubiashara.
Taifa Stars 0-3 Harambee Stars
 
Back
Top Bottom