Kenya wako wapi mbona siwaoni?Je, tutaboa?!!!!View attachment 1166304
Kenya wapo upande wa mabeberu wa sokaKenya wako wapi mbona siwaoni?
Ni "intamba mulugamba" sio "mitambo mulugamba"Kwa upuuzi wetu hata hawa mitambo Mulugamba watatupiga tu,maana maneno mengi,uwezo sifuri 00000000
Mkuu Simu yangu yangu imenidanganya,ila Asante kwa correctionNi "intamba mulugamba" sio "mitambo mulugamba"