Tanzania vs Burundi - World cup 2022 qualification,

Olmost

JF-Expert Member
Mar 25, 2014
337
439
Je, tutaboa?!!!!
IMG_20190729_145750.jpeg
 
Kama ilivyokuwa kwa kenya tu kwenye Afcon hatua ya makundi.

Tulichekelea sana tukijiamnisha tunaenda kuokota point mwisho wa siku ikawa ni maudhi tu.

Sasa hata hawa majirani wengine nao scenerio ni ile ile tu, sisi tunachekelea huku tukiamini ni mteremko na wao kule wanachekelea hivyo hivyo kuwa wamepata mteremko.

Tukileta ufalaa na hapa tutaanza kuwa watazamaji mapema sana miaka miwili kabla ya michuano kuanza.
 
Back
Top Bottom