Kama ulinielewa vizuri niliposema Kama kigogo tu pekee anaweza kupata taarifa muhimu za mipango ya siri ya serikali, je kwa magaidi au watu wenye nia ovu na serikali itakuwaje!?
Kwa ufupi hapo nilimaanisha serikali yetu hii na taifa zima kwa ujumla tuna weakness kubwa sana yaani tuko uchi na siku tukipata waasi wenye nguvu hatutasalimika.
Sent from my M100 using
JamiiForums mobile app