Tanzania 'using Twitter's copyright policy to silence activists'

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliwaingiza chaka LISU na CHADEMA kwamba ana kituo chake cha kuhesabia kura na tume wasithubutu kubadili matokeo, tena akasema kabisa lisu na seif wajiandae tu kuapishwa.

Lisu nae alivyo mbumbumbu wa siasa akamuamini
 
Na mimi nikakuuliza, unaweza kuleta mfano wa hizo taarifa nyeti za selikali alizoleta kigogo?
 
Kwani BBC ni tawi la serikali?

Lugola si aliapa kumtia nguvuni na kumtaja hadharani?

Kama wanamjua, kwanini waliomba physical address na taarifa binafsi pindi account yake ilipokuwa suspended?
Mkuu kama unaamini selikali haimjui kigogo basi pole!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…