GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 3,761
- 4,816
Habari wana bodi.
Nimejaribu kutafakali kuwa moja ya sababu inayo kosesha maendeleo ya nchi hii ni maadili, kivipi?
Ukichunguza kwa makini utajua kila kitu kina hitaji maadili na uungwana, Tanzania hapa kwa sasa kila kona kuna ukosefu wa maadili kuazia kwenye familia una kuta wazazi wengi hawana tena Sauti juu ya watoto wao lakini pia wazazi wenyewe mda mwingine hawa wajibiki ipasavyo kwa mahitaji ya watoto wao sababu inayo pelekea watoto kuwa juu ya wazazi wao.
Tukija kwenye siasa huku kila mtu anajua, ukosefu wa maadili umepelekea viongozi wengi kuwa wabinafsi walio pitiliza kiasi kwamba maslahi ya umma yanakuwa nyuma baada ya maslahi binafsi.
Kwenye dini pia tunaona kinacho kuwa kipaombele ni michango na sio imani tena, maombi huendeshwa kwa kuangalia kipato zaidi kuliko imani waliyo nayo watu.
Sasa ni nini kama nchi inatakiwa kufanya ni kuwa kwasababu watu wa nchi wengi hawana maadili na ungwana ina takiwa kuja na sheria kali zenye kutekelezeka kikamilifu.
Mfano nionavyo mimi wa zungu wamendelea kwa kuwa na sheria kali kwa kiasi flani. Bala Asia wana maadili na sheria kali ndio maana wametuacha kwenye maendeleo.
Karibu tujadili
Nimejaribu kutafakali kuwa moja ya sababu inayo kosesha maendeleo ya nchi hii ni maadili, kivipi?
Ukichunguza kwa makini utajua kila kitu kina hitaji maadili na uungwana, Tanzania hapa kwa sasa kila kona kuna ukosefu wa maadili kuazia kwenye familia una kuta wazazi wengi hawana tena Sauti juu ya watoto wao lakini pia wazazi wenyewe mda mwingine hawa wajibiki ipasavyo kwa mahitaji ya watoto wao sababu inayo pelekea watoto kuwa juu ya wazazi wao.
Tukija kwenye siasa huku kila mtu anajua, ukosefu wa maadili umepelekea viongozi wengi kuwa wabinafsi walio pitiliza kiasi kwamba maslahi ya umma yanakuwa nyuma baada ya maslahi binafsi.
Kwenye dini pia tunaona kinacho kuwa kipaombele ni michango na sio imani tena, maombi huendeshwa kwa kuangalia kipato zaidi kuliko imani waliyo nayo watu.
Sasa ni nini kama nchi inatakiwa kufanya ni kuwa kwasababu watu wa nchi wengi hawana maadili na ungwana ina takiwa kuja na sheria kali zenye kutekelezeka kikamilifu.
Mfano nionavyo mimi wa zungu wamendelea kwa kuwa na sheria kali kwa kiasi flani. Bala Asia wana maadili na sheria kali ndio maana wametuacha kwenye maendeleo.
Karibu tujadili