Tanzania Tunasonga Mbele ki maendeleo ya Technology

Unaendesha radio na Generator? Bila umeme wa uhakika biashara zote zinazotumia umeme zitakufa ! Technologia inatumia umeme
 
Mnapiga majimbyo ya Matusi nyie watu bana, tena mchana kweupe kwa saa za Tanzania ......

Nafungua tu namsikia Cee Lo Green na wimbo wake wa F#ck you.........

Nimeweka na mie kidole cha kati mbele kwa kila mhusika wa wimbo huu...
 
Dj alipitiwa mdau pia kuhusu umeme upo wakutosha no dowans problem wadau ni 24/7 hewani
 
Back
Top Bottom