Tanzania tunamuhitaji Rais wa aina gani 2025?

Mkuu umenena vyema,nakumbuka akina Mbowe,Mnyika enzi za JK neno "Rais dhaifu,goigoi" na kejeli kibao vilikuwa ndo wimbo wao.Na walitamka wao pia kwamba nchi hii anatakiwa Rais mkali,pia nakumbuka kuna kiongozi mmoja mkubwa wa dini aliwahi kusema nchi ilipofikia inahitaji kiongozi atakayeongoza kwa Mkono wa chuma,leo hao hao pia wameshageuka.Kwa ufupi nchi hii inahitaji Rais mkali.Hawa wa TZ ukiwaedekeza hautafanya kitu chochote.
 
Kwahiyo sasa anakusanya kodi ya kutosha.. Maafisa hawakunji tena hizo 5 na kuacha 145, ni sawa!

Swali langu; Kwanini mishahara haijaongezwa? Kwanini wastaafu hawalipwi kwa wakati? Aliwahaidi walimu atatoa billion 200 walipe arrears zao, kwanini kawapiga chenga?

Kwanini tukikosoa serikali tunapotezwa? Kwanini aliyepiga picha za expansion joint alibughudhiwa? Kwanini aliyepiga Iramba yuko ndani?

Kama tunauchungu wa kuirekebisha nchi kwanini makosa hatutaki kuyasikia?
 
Swali lilipaswa kuwa Watanzania tunahitaji Rais wa namna gani 2020 maana ndio kuna uchaguzi mkuu.
Haya mambo ya kufanya kuwa eti kipindi ni miaka 10 hayapo ndio maana uchaguzi ni kila baada ya miaka mitano na kwa muenekano wa huyu wa sasa hana uwezo wa kuongeza mingine mitano kwani hii mitatu tuu tumerudi nyuma miaka saba
 
Rais yeyote ajaye ni mbaya kuliko JPM Kama ambavyo watangaluzi wake walivyokua wabaya kulinganisha na watangaluzi wao.

Kutokuridhika ni hulka ya mwanadamu.
Umejib kifalsafa sana ambapo ni akil kubwa inaweza kuelewa
 
Labda kama atatoa kwa njia nyingine lakini si ile ya kura..

Ingawa roho inauma kuyasema hayo..
 
KAMA HUYU WA SASA WATU WANAPIGWA RISASI KILA SIKU HIYO 2025 TUNAOMBA WA AINA YA MABOMU SASA... WATU WAUAWE KWA MABOMU
 
Why 2025 na siyo sasa!!!? We are tired.
 
Ajae awe Bashe. Naona anafaa sana na hakawa rais, zamuu hii tumpe ni mwenzetu. Anaweza hata kusaidia jinsi ya kupatikana Alshabab wakatuondolea mateso.
Kuna wapiga debe wake wapo, wanalipiga kwa mbali
 
Bashite awe Rais,makamu wa Rais awe mnyeti,waziri wa habari jerry muro,waziri wa maendeleo ya vijana watoto le mutuz jingaz,waziri wa mambo ya ndani salumu hapi bila kuwasahu kina kibajaji,goodluck na wengineo huku chakubanga polepole akiwa mshauri mkuu wa Rais daud bashite
 
Atakaye tuwezesha kuwa na stock kubwa zaidi ya tani million ya dhahabu, na almasi kwenye national vaults (dollar,UK paund, Euro zinalekea kupigwa chini vibaya). Huku akiendeleza na kuongeza idadi ya viwanda vya uzalishaji mali vichakatavyo malighafi za kilimo, uvuvi, ufugaji, uwindaji, kuboresha zaidi miundombinu, za afya, usafiri, elimu. Kuimarisha Vikosi vyetu vya ulinzi kitekenolojia. Kuanzisha kituo maalumu cha masuala ya Sayansi, Uhandisi na Teknolojia (ambacho hakitaingiliwa na wanasiasa na kifanye kazi chini ya 'special branch').

Nina mengi sana ya kueleza kwa uchache naishia hapa.
 
atakayeendeleza mauaji na utekaji ili kupunguza idadi ya watu inayotishia kuleta uhaba wa ardhi
 
Nani alikuambia sisi tunataka Rais sema Ccm 25 -50 watatupa marais wa Aina gani tutakupa majibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…