Kila kukicha utasikia hili ama lile kuhusu kuibwa kwa mali za nchi yetu Tanzania. Juzi Madini ya Mwadui, Jana Yuraniamu ya Bahi, Leo Mabilioni hazina, kesho gesi ya Mtwara, kesho-kutwa Twiga, ndovu na faru; lahaullal!
Moja ya sababu ni kwa vile tunavyo vya kuibwa. Maana Tz ingekuwa fukara ingeibiwa nini? "Masikini hafilisiwi!!" Kumbe, Tanzania ni tajiri ajabu.
Au una sababu nyingine?
Moja ya sababu ni kwa vile tunavyo vya kuibwa. Maana Tz ingekuwa fukara ingeibiwa nini? "Masikini hafilisiwi!!" Kumbe, Tanzania ni tajiri ajabu.
Au una sababu nyingine?