Mr worldwide
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 348
- 737
Kwa matukio yanayofanywa na serkali ya awamu ya 5 chini ya Magufuli dhidi ya wananchi wapenda amani ni vema sasa mataifa yaingilie kati kutatua mkwamo wa kidemokrasia Tanzania
Nchi ya Tanzania kwa sasa inapitia mazingira magumu chini ya udikteta, uvunjifu wa haki za binadamu, kama vile watu kuuliwa na kuteswa na kutekwa lakini pia watu kupewa keai wasozifanya kama vile uhujumu uchumi, na uchochezi ni kesi za kubambikizwa wa wapinzani wa serkali ya Magufuli
tunaomba hatua mbalimbali zifanywe na umoja wa mataifa kuhakikisha hali kama ya zamani inarejea
Mataifa yanajua ni hatua gani hufanywa kwa serikali onevu kwa wananchi
-Kulaani vikali haya yote yanayoendelea hapa nchini
-Kuweka vikwazo mbalimbali vya kiuchumi kwa nchi husika inayofanya udharimu kwa demokrasia
-Kushiriki kuiondoa serikali ya kidikteta kwa mabavu kupitia majeshi ya umoja wa mataifa kama ilivyokuwa Libya na kwingineko duniank
Enyi umoja wa mataifa tunawahitaji hapa nchini Tanzania mtusaidie kumtoa jiwe wananchi tubaki na awani yetu tuliyoijenga kwa muda wa zaidi ya miaka hamsini tangu uhuru.
Nchi ya Tanzania kwa sasa inapitia mazingira magumu chini ya udikteta, uvunjifu wa haki za binadamu, kama vile watu kuuliwa na kuteswa na kutekwa lakini pia watu kupewa keai wasozifanya kama vile uhujumu uchumi, na uchochezi ni kesi za kubambikizwa wa wapinzani wa serkali ya Magufuli
tunaomba hatua mbalimbali zifanywe na umoja wa mataifa kuhakikisha hali kama ya zamani inarejea
Mataifa yanajua ni hatua gani hufanywa kwa serikali onevu kwa wananchi
-Kulaani vikali haya yote yanayoendelea hapa nchini
-Kuweka vikwazo mbalimbali vya kiuchumi kwa nchi husika inayofanya udharimu kwa demokrasia
-Kushiriki kuiondoa serikali ya kidikteta kwa mabavu kupitia majeshi ya umoja wa mataifa kama ilivyokuwa Libya na kwingineko duniank
Enyi umoja wa mataifa tunawahitaji hapa nchini Tanzania mtusaidie kumtoa jiwe wananchi tubaki na awani yetu tuliyoijenga kwa muda wa zaidi ya miaka hamsini tangu uhuru.