THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,727
- 3,286
Habari wana-Jukwaa.
Nipo najiuliza maswali mengi sana kila nikiingia sehemu nikaona Mapungufu flani,nikitoka nawaza hivi lini na sisi tutakua kama Nchi Flani nikitoka sehemu hio nikipita sehemu Nyingine nikiona Tatizo najiuliza Lini tutakua kama Nchi Flani,Saivi ni miaka 60+ tokea tupate Uhuru lakini bado sielewi ni mda gani itachukua Nchi yangu Tanzania kuwa ...
1: Na uzalishaji Mkubwa wa Chakula Kama=CHINA
2: Kuwa Nchi salama kama ICELAND
3: Kuwa na Technology kubwa kama JAPAN
4: Kuwa na Elimu Bora kama U.S.A
5: Kuwa na Miundombinu Bora kama HON KONG
6: Huduma za Afya Bora kama S.KOREA
7: Kuwa Nchi yenye Ushwishi kama U.S.A
8: Kuwa Nchi yenye Uongozi Bora kama GERMANY
9: Kuwa Nchi yenye uzalishaji mkubwa katika viwanda kama CHINA
Kiukweli kuna Mengi sana Nawaza, hasa pale nikiona vile tupo Nyuma Na ukiangalia na Mda tulionao toka tupate Uhuru.. hadi najiuliza ni tunahitaji kitu gani kufikia hayo yote na mengine Mengi?
Labda mnipe Jibu tunahitaji Nini ili kufikia hizo Level?
Nipo najiuliza maswali mengi sana kila nikiingia sehemu nikaona Mapungufu flani,nikitoka nawaza hivi lini na sisi tutakua kama Nchi Flani nikitoka sehemu hio nikipita sehemu Nyingine nikiona Tatizo najiuliza Lini tutakua kama Nchi Flani,Saivi ni miaka 60+ tokea tupate Uhuru lakini bado sielewi ni mda gani itachukua Nchi yangu Tanzania kuwa ...
1: Na uzalishaji Mkubwa wa Chakula Kama=CHINA
2: Kuwa Nchi salama kama ICELAND
3: Kuwa na Technology kubwa kama JAPAN
4: Kuwa na Elimu Bora kama U.S.A
5: Kuwa na Miundombinu Bora kama HON KONG
6: Huduma za Afya Bora kama S.KOREA
7: Kuwa Nchi yenye Ushwishi kama U.S.A
8: Kuwa Nchi yenye Uongozi Bora kama GERMANY
9: Kuwa Nchi yenye uzalishaji mkubwa katika viwanda kama CHINA
Kiukweli kuna Mengi sana Nawaza, hasa pale nikiona vile tupo Nyuma Na ukiangalia na Mda tulionao toka tupate Uhuru.. hadi najiuliza ni tunahitaji kitu gani kufikia hayo yote na mengine Mengi?
Labda mnipe Jibu tunahitaji Nini ili kufikia hizo Level?