Tanzania tumewekwa Level 4 ya Maambukizi na CDC. Mbona hatuwaambii Raia?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,797
71,217
CDC (Centres for Disease Control and Prevention) wametoa tahadhari kwa wasafiri duniani kote kuhusu kiwango cha maambukizi Tanzania na kutuweka Level 4 ambacho ni kiwango cha juu.

Ajabu serikali yetu haionyeshi kujali na kutoa tahadhari za kutosha kwa raia, inaogopa nini?

Wanajua madhara tutakayopata sisi wafanyabiashara na hata wengine tunapotaka kufanya safari zetu nje ya nchi?

Wanajua athari za kiuchumi kwa nchi yetu ugumu huu wa sasa kuwa na maambukizi ya level 4?
 
- How many normal aged civilians with historical background health complications are getting sick, treat themselves thereafter proced with their routine daily production activity?

The statement issued by ACT Wazalendo is not coincidental rather strategically planned before the Zanzibar GNU was inclusively formed up. The public statement by the party chairperson who is currently admitted in Zanzibar hoispital after was reportedly to have contracted with the infectious virus. The people of your calibre take this risk opportunity to advance personal and political interests.

You are vehemently promoting the COVID-19 vaccines that is increasingly being produced from overseas and disgracefully undermining locally produced component by the recogniozed scientific research instititue in Tanzania (NIMRI)

Nobody is showing down against the challenges being raised from different spheres that the pandemic viral has emerged in a new feature to discover its severity blind prediction.

The statement has been issued by the renowned political party in Zanzibar flags a red warning to people arranged to take their leisure vacation in the Isles predcting the economy fallout through tourism.

When every individual takes both the precautions instructed from the ministry of health and local hybrid scientific experts teh viral shall be overcome outrightly.

Let's avoid throwing blames to anybody whilst concerted efforts among teh Tanzanian community fighting the outbreak may diversify to an effective breakthrough.
 
CDC (Centres for Disease Control and Prevention) wametoa tahadhari kwa wasafiri duniani kote kuhusu kiwango cha maambukizi Tanzania na kutuweka Level 4 ambacho ni kiwango cha juu.
Ajabu serikali yetu haionyeshi kujali na kutoa tahadhari za kutosha kwa raia, inaogopa nini?
Wanajua madhara tutakayopata sisi wafanya biashara na hata wengine tunapotaka kufanya safari zetu nje ya nchi?
Wanajua athari za kiuchumi kwa nchi yetu ugumu huu wa sasa kuwa na maambukizi ya level 4?
Wewe unataka nini hasa? Kwa hiyo tukitangaza tuna corona ndo tutaruhusiwa kwenda popote bila masharti?
Unataka huruma ya hao CDC au unataka kufanya mambo yako ndani ya nchi bila bugudha?
kipindi cha mwaka jana ambacho nchi zote zilizuia wasafiri mbona hukulalama kuwa utaathilika?

Watatutenga kwa mwezi mmoja au miwili kisha hiyo corona nayo itaisha hapa kwetu maana wao ndo wanaileta kisha tutaenda tunapohitaji.
 
-How many normal aged civilians with historical background health complications are getting sick, treat themselves thereafter proced with their routine daily production activity?...
Kiingereza kingi hakitasaidia kuwaokoa watanzania, nenda uliza madaktari Muhimbili Hospital wakwambie ukweli idadi ya vifo ilivyoongezeka kwa siku, wengine wanaishi maeneo jirani wanaona idadi ya magari (Coaster) yanayokuja kuchukua marehemu kuwapeleka kwao kwa mazishi ilivyoongezeka kwa siku, halafu wewe unaleta siasa eti watu wanawatisha wengine ili watumie chanjo za wazungu?!

Huu ujinga wenu wa kuwaza siasa kila wakati ndio unaleta madhara kwa jamii yetu, mmedanganya sana hakuna Corona Tanzania mmeimaliza kwa maombi, matokeo yake watu hawakuchukua tahadhari mpaka maambukizi yameongezeka leo tunaambiwa tuko level 4, leo tena mnasema watu wasitumie kinga... nyie ni blood suckers wa aina ya vampire, wacheni watu waambiwe ukweli wachukue tahadhari, wajiokoe wao na wawapendao.
 
CDC (Centres for Disease Control and Prevention) wametoa tahadhari kwa wasafiri duniani kote kuhusu kiwango cha maambukizi Tanzania na kutuweka Level 4 ambacho ni kiwango cha juu.

Ajabu serikali yetu haionyeshi kujali na kutoa tahadhari za kutosha kwa raia, inaogopa nini?

Wanajua madhara tutakayopata sisi wafanya biashara na hata wengine tunapotaka kufanya safari zetu nje ya nchi?

Wanajua athari za kiuchumi kwa nchi yetu ugumu huu wa sasa kuwa na maambukizi ya level 4?
Wazungu wanazidi kumiminika tu hapa Zanzibar, wanakuja kwa wingi sijui wao wameshapata chanjo
 
Kiingereza kingi hakitasaidia kuwaokoa watanzania, nenda uliza madaktari Muhimbili Hospital wakwambie ukweli idadi ya vifo ilivyoongezeka kwa siku, wengine wanaishi maeneo jirani wanaona idadi ya magari (Coaster) yanayokuja kuchukua marehemu kuwapeleka kwao kwa mazishi ilivyoongezeka kwa siku, halafu wewe unaleta siasa eti watu wanawatisha wengine ili watumie chanjo za wazungu?!..
You are rated level 4 B117V2 infected victim that is why you are madly shouting the impossibility.
 
Back
Top Bottom