Je, huu ni wakati sahihi wa Rais Magufuli kufunga balozi za mabeberu, tubaki na balozi tu ambazo sio za kibeberu?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,833
155,780
Hoja yangu nimeiweka kwenye namna ya swali ili tuweze kupata majibu sahihi, na tuangalie vyema hali yetu ya kiusalama kiuchumi, kijamii na kisiasa pia.

Vita ya kiuchumi imepamba sana Moto, maadui wetu wanatumia mbinu mbalimbali ili watufute kwenye sura ya dunia.

Shirika kubwa la afya la Marekani kupitia tovuti yake COVID-19 in Tanzania - COVID-19 Very High - Level 4: COVID-19 Very High - Travel Health Notices | Travelers' Health | CDC imeiweka nchi yetu kwenye daraja la nne ambalo ndilo daraja hatari kabisa kwa maambukizi ya COVID-19.

Dhumuni kubwa kabisa la kufanya hivi, kwanza ni kuzuia watalii kutoka sehemu mbalimbali za dunia, wasitiririke kwa wingi kuja nchini kwetu kipindi hiki ambacho kwao kuna baridi kali sana na maambukizi ya COVID-19 yako juu sana.

Wanaichafua nchi yetu ili tukose mapato, tuendelee kuwategemea wao kwa kila kitu, wahenga walisema adui muombee njaa atanyoosha mikono juu hata kama ni shujaa.

Kusudi la pili kututangaza kuwa tuko kwenye daraja la nne la juu la maambukizi ya COVID-19, ni kutaka kuja kuachilia bio weapons zao, ambapo wataleta virusi hatari kuliko COVID-19, tufe kwa wingi na waitangazie dunia kuwa yule Tanzania ambaye alikuwa mkaidi sasa anaangamia.

Kumbuka kuwa pia tutatengwa na jamii ya Kimataifa.

Sasa kabla haya yote hayajatokea, Rais wetu chuma, mwamba, jiwe, bulldozer unaonaje huu ni wakati sahihi kwako kufunga balozi za mabeberu, tubaki na balozi tu ambazo sio za kibeberu?


Chelewachelewa utamkuta mwana si wako
 
Yaani hao watesi wetu wakiwa wanasoma vitu kama hivi wanaangalia alafu wanacheka yaani.
 
Kututangaza sio shida, shida je ni kweli iko hivyo?

Swala la wao kuleta Virusi vikali ili tufe zaidi, wanaweza kweli hao watu Kwa vile Sisi na Nchi nyingi za Africa hatuna mifumo imara ya kuzui njama hizo za Kisayansi

Lakini Mungu ndiye amebaki kuwa mlinzi wa ubaya wao wote, Atatupigania watashangaa na watajuta kufanya hivyo
 
Hoja yangu nimeiweka kwenye namna ya swali ili tuweze kupata majibu sahihi, na tuangalie vyema Hali yetu ya kiusalama kiuchumi, kijamii na kisiasa pia.
Vita ya kiuchumi imepamba sana Moto, maadui wetu wanatumia mbinu mbalimbali ili watufute kwenye sura ya dunia.

Shirika kubwa la afya la Marekani kupitia tovuti yake COVID-19 in Tanzania - COVID-19 Very High - Level 4: COVID-19 Very High - Travel Health Notices | Travelers' Health | CDC imeiweka nchi yetu kwenye daraja la nne ambalo ndilo daraja hatari kabisa kwa maambukizi ya COVID-19.
Dhumuni kubwa kabisa la kufanya hivi, Kwanza ni kuzuia watalii kutoka sehemu mbalimbali za dunia, wasitiririke kwa wingi kuja nchini kwetu kipindi hiki ambacho kwao Kuna baridi Kali Sana na maambukizi ya COVID-19 yako juu sana.
Wanaichafua nchi yetu ili tukose mapato, tuendelee kuwategemea wao kwa kila kitu, wahenga walisema adui muombee njaa atanyoosha mikono juu hata kama Ni shujaa.

Kusudi la pili kututangaza kuwa tuko kwenye daraja la nne la juu la maambukizi ya COVID-19, ni kutaka kuja kuachilia bio weapons zao, ambapo wataleta virusi hatari kuliko COVID-19, tufe kwa wingi na waitangazie dunia kuwa Yule Tanzania ambaye alikuwa mkaidi Sasa anaangamia.
Kumbuka kuwa pia tutatengwa na jamii ya Kimataifa.
Sasa kabla haya yote hayajatokea, Rais wetu chuma, mwamba, jiwe, bulldozer unaonaje huu ni wakati sahihi kwako kufunga balozi za mabeberu, tubaki na balozi tu ambazo sio za kibeberu?


Chelewachelewa utamkuta mwana si wako
Ki diplomasia si sahihi kufanya kama utamanivyo Bali ni Sisi sasa kufanya kila Hali kuwaonyesha mtazamo wao dhidi ya taifa letu ni uongo mtupu,tunawashukuru wenzetu wa chuo kikuu cha dareeslaam kwa kuja na dawa yenye kumpa mtanzania Imani na nguvu ya kuishinda korona.

Tunashukuru jitihada zote zinazofanywa na wizara ya afya.

Ndugu zangu tusiwasikilize Sana hawa watu kwani kama kweli wanania dhabiti si dhani wangetumia nguvu kubwa hii waitumiayo sasa dhidi ya Taifa letu.

Tufanye kazi,tuchukue taadhari,tufanye mazoezi na kikubwa tuondokane na hofu kupitiliza.
 
Ki diplomasia si sahihi kufanya kama utamanivyo Bali ni Sisi sasa kufanya kila Hali kuwaonyesha mtazamo wao dhidi ya taifa letu ni uongo mtupu,tunawashukuru wenzetu wa chuo kikuu cha dareeslaam kwa kuja na dawa yenye kumpa mtanzania Imani na nguvu ya kuishinda korona.
Tunashukuru jitihada zote zinazofanywa na wizara ya afya....
Ndugu zangu tusiwasikilize Sana hawa watu kwani kama kweli wanania dhabiti si dhani wangetumia nguvu kubwa hii waitumiayo sasa dhidi ya Taifa letu...
Tufanye kazi,tuchukue taadhari,tufanye mazoezi na kikubwa tuondokane na hofu kupitiliza...
Hiyo dawa imewaponyesha watu wangapi? Ilifanyiwa wapi majaribio? Je tangawizi, pilipili na hivyo vingine vinapambanaje na virusi?
 
Tanzania kwa miaka yote ni nchi ambayo mambo yetu low profile hatuna ugomvi na mtu na kupendwa sehemu nyingi tu maana hatujawahi kutawala vichwa vya habari kwa ubaya.

Ila kwa sasa nadhani kama tumechoka hivi kiko tunachotafuta na tutakipata. Kuna wakati nadhani sisi ni muhimu sana hatuhitaji mtu.

Tuache mabeberu nadhani hata jirani zetu wa karibu wanatuangalia na jicho la mashaka. Hivi tutagombana na wangapi? hii nchi haina washauri?

CCM hawana vikao vyao vya ndani na kupima haya kisiasa na kiuchumi na kufanya maamuzi sahihi? au kuna uwoga umetawala watu.

Siku unajigamba tajiri siku unaomba usamehewe deni, siku hakuna corona, siku tuanze kujifukiza siku 3.
 
Hiyo dawa imewaponyesha watu wangapi? Ilifanyiwa wapi majaribio? Je tangawizi, pilipili na hivyo vingine vinapambanaje na virusi?
Naona umechagua kuwa hasi kwa kila Jambo,wajuzi wa kirusi hiki wanatueleza kwamba,kazi kubwa ya kirusi hichi(ambacho asili yake ni mafuta) ni kupambana na mfumo wa upumuaji wa mwanadamu kuazia kwenye koo mpaka kwenye mapafu

Sasa basi dawa hizi na viungo mbalimbali tutumiavyo vinasaidia Sana kuharibu utendaji kazi wa kirusi hichi,
Kivipi?

Unapotumia tangawizi,kitunguu swaum inapelekea muasho kiasi kwenye koo( na hii ni nzuri kwasababu endapo mtumiaji atakuwa na korona ambayo kwa hatua za awali hutulia kwenye koo na baadae kusaamba mpaka kwenye mapafu)mwasho huo huvifanya virusi vya korona kukimbilia tumboni na kulingana na joto tumbo virusi hivi vikifika tumboni huyeyuka na kutoka ndani ya mwili wa mwanadamu na hii kuufanya mwili huo kuwa huru na kirusi cha korona.
 
Naona umechagua kuwa hasi kwa kila Jambo,wajuzi wa kirusi hiki wanatueleza kwamba,kazi kubwa ya kirusi hichi(ambacho asili yake ni mafuta) ni kupambana na mfumo wa upumuaji wa mwanadamu kuazia kwenye koo mpaka kwenye mapafu
Sasa basi dawa hizi na viungo mbalimbali tutumiavyo vinasaidia Sana kuharibu utendaji kazi wa kirusi hichi,
Kivipi?
Unapotumia tangawizi,kitunguu swaum inapelekea muasho kiasi kwenye koo( na hii ni nzuri kwasababu endapo mtumiaji atakuwa na korona ambayo kwa hatua za awali hutulia kwenye koo na baadae kusaamba mpaka kwenye mapafu)mwasho huo huvifanya virusi vya korona kukimbilia tumboni na kulingana na joto tumbo virusi hivi vikifika tumboni huyeyuka na kutoka ndani ya mwili wa mwanadamu na hii kuufanya mwili huo kuwa huru na kirusi cha korona
Korona hutokaje kwenye mwili wa binadamu?
Ni kwa njia za kawaida za kutoa sumu na taka ndani ya miili ya binadamu...
 
ARV's, Chanjo za watoto ,tiba za TB na ukoma itabidi tutumie mbadala hasa nyungu za Jaffo na Dr Gwajima ,kwani tutakuwa tumetengwa
Hata yale matundu ya vyoo ya hisani ya watu wa Marekani itabidi tujenge wenyewe
So sad
 
Kufunga balozi sio solution na wala sio njia stahiki ya “kujibu mapigo”.

Afterall, hiyo ya CDC ni travel advisory note tu ambayo kila balozi huwa inafanya on weekly basis. Mtalii bado ana hiari ya kufanya tafiti mwenyewe na kufanya maamuzi aje au ajifungie ndani kwake
 
Akili ya bavicha hii sio bure .hivi ungepewa nchi kwa akili hizi ungeicha nchi katika matatizo makubwa
 
Back
Top Bottom