Tanzania Tuige Mifano Kama Huu Hapa: Hakuna Wa Kuwa Juuu Ya Sheria!

- Hapana mkuu unajua katika kazi yangu ya kila siku hapa New York City, huwa inanipa nafasi ya kufanya kazi kwenye Prison Systems zote za hapa Metro, infact huwa ninaiingia mpaka ndani wanakoishi inmates, jana nilikuwa kwenye prisons za Penn State na Trenton, NJ State, mle ndani nikamuona inmate mmoja aliyekua big politician zamani nikaongea naye sana na kumueleza jinsi kwetu watu kama yeye walivyo juu ya sheria, akacheka sana na kunitaka nimuombee ahamie bongo! ha! ha!

- However: nikatoka mle ninajiuliza how nice could it be kuwaona mafisadi wetu bongo wakiwa kwenye msoto kama yule mzee kwa kuvuruga trust ya wananchi na taifa!


William.

hahah!! Mwambie akitoka tutampa invitation na uraia atapewa si unajua tunahusudu sana watu wa nchi za nje.but all in all ni kwamba in Africa we dont follow our laws, zipo tu only as a documents.people own laws so we cant do anything to the(leaders) unless kutokee mgongano wenyewe kwa wenyewe huko juu wa, but if ya small i mean ya nt among them and u go agaist them, u will see and enjoy the bitternes of our law.
 
hahah!! Mwambie akitoka tutampa invitation na uraia atapewa si unajua tunahusudu sana watu wa nchi za nje.but all in all ni kwamba in Africa we dont follow our laws, zipo tu only as a documents.people own laws so we cant do anything to the(leaders) unless kutokee mgongano wenyewe kwa wenyewe huko juu wa, but if ya small i mean ya nt among them and u go agaist them, u will see and enjoy the bitternes of our law.

- Au waguse kwenye mlo yaani kwenye siasa na hauko kwenye wateule ha! ha! utakiona cha Kitine na Idd Simba ha! ha! only in bongo!

William.
 
- Au waguse kwenye mlo yaani kwenye siasa na hauko kwenye wateule ha! ha! utakiona cha Kitine na Idd Simba ha! ha! only in bongo!

William.

definetly only in Tanzania.now is the time to come with solution,na hapa lazima swala la katiba liingie ili sheria isiwe kwenye makwapa ya watu.
 
- Hapana mkuu unajua katika kazi yangu ya kila siku hapa New York City, huwa inanipa nafasi ya kufanya kazi kwenye Prison Systems zote za hapa Metro, infact huwa ninaiingia mpaka ndani wanakoishi inmates, jana nilikuwa kwenye prisons za Penn State na Trenton, NJ State, mle ndani nikamuona inmate mmoja aliyekua big politician zamani nikaongea naye sana na kumueleza jinsi kwetu watu kama yeye walivyo juu ya sheria, akacheka sana na kunitaka nimuombee ahamie bongo! ha! ha!

- However: nikatoka mle ninajiuliza how nice could it be kuwaona mafisadi wetu bongo wakiwa kwenye msoto kama yule mzee kwa kuvuruga trust ya wananchi na taifa!
William.

‘The Theory of Equality before the Law' as Practiced in the West and the Challenges of ‘Sacred Cows' Syndrome in Africa

Bill Malecela, this is yet another mark of high quality - THE POWER OF SEEING, REASONING, AND ETERNALISING ABOUT A PHENOMENON OR SIMPLY YOU HAVE DEMONSTRATED A RARE TRAIT OF DEDUCTIVE THINKING - the mark is never common in many not even the most travelled souls from our continent. Many learnet Tanzanias go places, see many things, forget everything good and only device a better way to rob the public of her megre resources to keep at a safe bank in the west - how selfish and demonish!!

They, instead, would often be seeing many things, admire many things, smile at many things just as much as they likewise about them in their numbers and with the same speed with which things come on sight.

A few weeks ago, I read with much delight and appreciation an article put across by one political analyst, Maggid Mjengwa. Many thanks Mjengwa, it was such a masterpiece to the same level as those by gurus like Karl Lyimo or Jenerali Ulimwengu, though many never seem to appreciate its originality and the cool-mind behind. Most interesting note again, the young writer works under the latter pen-pushing general; huts of for your selfless mentoring Mzee Ulimwengu!

He was particularly up-in-arms about some MPs trend that once voted out of office they dare un-pluck even a mere Tsh 2,000/- curtain off the walls as a demonstration of disapproval at wananchi's verdict on them at the ballot box.

One could easily tell that the pen-chanter may have turned red and even at a big loss upon remembering that a guy of a cheerful age and longstanding stay in the Western Civilisation as Mr Laurance Masha could equally just go so low just like any other otherwise 'barbaric-by-nature' village councillor by even undoing the MPs' office door shutters, curtains, carpets and fittings like that. I still just wish the never happened at all or a sheer accident of some kind that Lau will at some point in time seek to open-up about before journalists.

Well, what this village writer, just like myself a Tanzanian village reader down here, stopped short of telling us was that Laus was not any better than Iringa's Monica Mbega, our unlucky mother always around with us within the country, who equally unluckily lost her seat and then vented her anger at office utilities just in a similar way. At the backgrounds of age difference on would easily forgive Mama Mbega that she perhaps needed the stuff much at home but not Lau.

Since that time I realised some of the most dearly paid for tickets flying to the west are no bigger deal different from someone travelling on a similar document from Bukombe to Kahama township as many have since learnt to fly high like eagles in the skies but hardly learn a thing, change or seek to implement it for our general good back home!!

I greatly love the way you travelled, in the course of your job out there, saw, appreciated with great interest and is now selflessly sharing it all with us. That most striking contrast of 'Equal-Step' Administration of Justice in the west as the perpetual selective treatment of 'SACRED COWS' daily stealing from us and tomorrow continue walking shoulder-high chest-thumbing their vice for a virtue as 'MIMI FISADI ORIGINAL' kind of takes can well be BRIDGED for a better nation and the Tanzania that we really want today than yesterday

No the big question comes: how do we achieve this in our neighbourhoods here in Africa? And all eyes turn on a dire need to have a very good constitution, behavioural change and fair administration of justice at all times. Let each one of us play a part from now on for a greater Tanzania full of people that live their full lives as their own styles, means and choosing.

That is how the part marked red above touched the intellectual part of me Bill.
 
Na hili la kuapply sheria selectively ndiyo haswaa linalosababisha Tanzania utawala wa sheria ushindikane, no wonder sheria za barabarani hazifuatwi, vibaka kila kona, ujenzi holela kila mahali, uchakachuaji wa kila taratibu.

Leo hii mtanzania kila atakapoambiwa kuna ada/ hela ya kulipa kwa ajili ya huduma flani cha kwanza kufikiria ni loopholes to pay less au asilipe kabisa. Watu wanaenda kazini asubuhi 90% ya mawazo ni kuhujumu, kuiba na kupokea rushwa under the excuse everybody is doing it. Kuna kila dalili kuwa huko Mbinguni (kwa wale wanaoamini) watanzania wanaweza wasijefika 5000 hahaha ahahah!

How come polisi aliyelewa anaweza kukuzuia usiendeshe ukiwa umelewa? Bosi mwizi anaweza kuzuia wasaidizi wake wasiibe? Hakimu mla rushwa anaweza kuhukumu kwa haki?

Cry my beloved country!!!!!!!!!!!
 
Na hili la kuapply sheria selectively ndiyo haswaa linalosababisha Tanzania utawala wa sheria ushindikane, no wonder sheria za barabarani hazifuatwi, vibaka kila kona, ujenzi holela kila mahali, uchakachuaji wa kila taratibu.

Leo hii mtanzania kila atakapoambiwa kuna ada/ hela ya kulipa kwa ajili ya huduma flani cha kwanza kufikiria ni loopholes to pay less au asilipe kabisa. Watu wanaenda kazini asubuhi 90% ya mawazo ni kuhujumu, kuiba na kupokea rushwa under the excuse everybody is doing it. Kuna kila dalili kuwa huko Mbinguni (kwa wale wanaoamini) watanzania wanaweza wasijefika 5000 hahaha ahahah!

How come polisi aliyelewa anaweza kukuzuia usiendeshe ukiwa umelewa? Bosi mwizi anaweza kuzuia wasaidizi wake wasiibe? Hakimu mla rushwa anaweza kuhukumu kwa haki?

Cry my beloved country!!!!!!!!!!!

5000 ni wengi sana kwa nchi chafu like our country. Ooh GOd bless us.
 
definetly only in Tanzania.now is the time to come with solution,na hapa lazima swala la katiba liingie ili sheria isiwe kwenye makwapa ya watu.

- Sheria tunazo, tatizo letu ni uoga uoga umewahi kusikia hadithi za Zambia na Ian smith, kuna Pilot wa Jeshi la Zambia siku moja alichoshwa sana na tabia ya Smith kuingia Zambia na kurusha rusha mabomu, siku moja akachuklua ndege bile ruhusa na kwenda kwenye eneo la wazungu kule Rhodesia na kuachia mabomu sana, aliporudi akafukuzwa kazi yakaisha,

- Bongo tunahitaji this kind siku moja mtu mmoja kwenye Judicial System yetu afunge macho ale sahani moja na mkulu mmoja mpaka kieleweke, angalau mmoja tu inatosha kwa kuanzia!


William.
 
Cha Kushangaza Demokrasia za Nchi Zilizoendelea Wanajua Umuhimu wa Katiba Tofauti na Nchi Maskini. Wanawadanganya Wananchi Wao na Kuwapa Katiba Fake ili Yasiwapate Hayo...Yanakuja Baba Tanzania na Mkapa Atakuwa Wakwanza Kulipoti Jela. Nasuggest:
  1. 10 Years Mkapa
  2. 15 Years JK
  3. 5 Years Makamba
  4. 10 Years Lowasa
  5. Life for Rostam
Hii Siku Ikifika Kweli Sitakuwa na Huruma na Wote Hawa. Tunajua Kuna Baadhi ya Wananchi Watasema Hizi ni Adhabu Kali Lakini Sasa Hivi Hawataki Kuwashahuri Kusema Ukweli na Kuacha Kuliibia Taifa Letu.
 
Safi sana. Thread yako nimeipenda. Mzee Kubenea upo wapi tafadhali tuwekee article kwenye gazeti lako theme ya thread hii ili jamii ione namna wenzetu wasivyofanya mzaha kwa viongozi wanaofanya makosa.
 
Cha Kushangaza Demokrasia za Nchi Zilizoendelea Wanajua Umuhimu wa Katiba Tofauti na Nchi Maskini. Wanawadanganya Wananchi Wao na Kuwapa Katiba Fake ili Yasiwapate Hayo...Yanakuja Baba Tanzania na Mkapa Atakuwa Wakwanza Kulipoti Jela. Nasuggest:
  1. 10 Years Mkapa
  2. 15 Years JK
  3. 5 Years Makamba
  4. 10 Years Lowasa
  5. Life for Rostam
Hii Siku Ikifika Kweli Sitakuwa na Huruma na Wote Hawa. Tunajua Kuna Baadhi ya Wananchi Watasema Hizi ni Adhabu Kali Lakini Sasa Hivi Hawataki Kuwashahuri Kusema Ukweli na Kuacha Kuliibia Taifa Letu.

hahahah! Kwa Tanzania hii ni alfu lela ulela elfu mia na moja.
 
tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiria .Tunahitaji mabadiliko makubwa kuanzia kwa raisi.Nafikiri Jakaya haelewi kwamba watu wote wanaofanya kazi kwenye executive branch wako chini yake.Prosecutor na polisi wanapofanya kazi wakakamata muhalifu akapelekwa mahakamani wanafanya hivyo na confidence kuwa chief executive yuko nyuma yao in principle they are working for him.Sasa kesi iko mahakamani raisi anasimama anamshika mkono mtuhumiwa anasema ni mtu safi tumchague akatunge sheria za nchi,only in Tanzania,convicted fellons wamekaa mjengoni nafikiri nchi inarudi nyuma
 
Sara Bost
Office: Mayor, Irvington, N.J., 1994 to 2002.

Highlights: Bost was a trailblazer when elected to her township's council and was mayor during an economically challenging time for Irvington.

Crime: Bost was indicted on five corruption counts, allegedly accepting $8,500 in kickbacks. She pleaded guilty to a lesser charge, while maintaining her innocence.

Time:
Sentenced to a year in prison, Bost was incarcerated at "Camp Cupcake," when she became friendly with a fellow famous inmate.

William.
 
Indonesia leader's in-law jailed



BBC News, Jakarta
999999.gif


_45935799_-1.jpg
Aulia Pohan is the father of President Yudhoyono's daughter-in-law

A corruption court in Indonesia has sentenced a relative of President Susilo Bambang Yudhoyono to four and a half years in jail.
Aulia Pohan, a former central banker, was found guilty of approving illegal payments to members of parliament.
Pohan's daughter is married to President Yudhoyono's son, and his corruption trial has been closely watched by many Indonesians.
Indonesia often ranks as one of the most corrupt countries in the world.
Many ordinary people wondered whether one of the president's relatives would escape a harsh sentence.
But the final verdict - four and a half years in jail and a $20,000 fine - has been seen as a step in the right direction for the judiciary.
William
 
tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiria .Tunahitaji mabadiliko makubwa kuanzia kwa raisi.Nafikiri Jakaya haelewi kwamba watu wote wanaofanya kazi kwenye executive branch wako chini yake.Prosecutor na polisi wanapofanya kazi wakakamata muhalifu akapelekwa mahakamani wanafanya hivyo na confidence kuwa chief executive yuko nyuma yao in principle they are working for him.Sasa kesi iko mahakamani raisi anasimama anamshika mkono mtuhumiwa anasema ni mtu safi tumchague akatunge sheria za nchi,only in Tanzania,convicted fellons wamekaa mjengoni nafikiri nchi inarudi nyuma

It's True Kikwete Haelewi Yeye Ndio Anateua:
  1. Mawaziri Wote
  2. Manaibu Wote
  3. Wakuu wa Mikoa
  4. Wakuu wa Wilaya
  5. Majaji Wote TZ
  6. Makamishina Wote TZ
  7. Wakurugenzi Wote TZ
  8. Kuwalipa Dowans, EPA, Richmond na Mikataba Hewa
  9. Sasa Kuunda Tume ya Katiba
  10. Sasa Anatoa Vibali vya Maandamano
  11. Kesho Anaweza Akaanza Kukamata Wapinzani Wote na Maaskofu
  12. Anaweza Akaanza Kukataa Kutoa Visa za Kwenda Nje ya Nchi
"Kweli Kikwete Haoni Haya Jamani au ni Mimi Tu Peke Yangu?"
 
Former Israeli president convicted on rape charges

Israel News.Net
Thursday 30th December, 2010
15149351be947f27.jpg

A former president of Israel, Moshe Katsav, has been convicted of rape, sexual harassment, committing an indecent act while using force, harassing a witness and obstruction of justice.

The eight president is now a convicted sexual offender after a historical verdict in the Tel Aviv District Court.

Katsav is expected to receive substantial jail time after the court accepted testimony from complainants that the defendant was a bully, a liar and a repeat sexual predator.

The decision of the three-judge panel in the Tel Aviv District Court was unanimous.

After the verdict was read by Judge George Kara, Katsav, 65, was allowed to return to his home in Kiryat Malachi, pending sentencing.

The court has issued an injunction forbidding him to leave the country and has ordered the former president to hand over his passport to the police.

William
 
Fujimori gets lengthy jail term


_45643076_007142838-1.jpg
Mr Fujimori's


Former Peruvian President Alberto Fujimori has been sentenced to 25 years in jail for ordering killings and kidnappings by security forces.


At the end of a 15-month trial, judges found him guilty of two death-squad killings of 25 people during the conflict with guerrillas in the 1990s.


William.
 
Ukisema haya watakuambia mnataka kutuletea siasa za "huko Marekani"!

- umeona pale juu wanafunga mpaka wanasiasa wanawake, hakuna cha viti maalum wala gender sensitive, ukivunja kiapo chako kwa taifa na hasa wananchi wewe ni jambazi tu kama wale wezi wa kuku na mbuzi, pamoja na wabakaji!

William
 
Back
Top Bottom