Na wewe kazi yako ni kufikiria wanayofanya/fikiria wenzako.
Umenikumbusha ngoja niende kwenye kideti changu nikakipige walau cha fastafasta.......Dah sasa sijui ntapata wapi Ryder usiku huu
mleta mada najua watakusakama sana lakini ujumbe umefika unakuta jitu lina post zaidi 3000 zote za ngono badilikeni siyo kila siku ngono wakati taifa linateketea
mleta mada najua watakusakama sana lakini ujumbe umefika unakuta jitu lina post zaidi 3000 zote za ngono badilikeni siyo kila siku ngono wakati taifa linateketea
wewe kazi yako nini?? Kungonoka kwenda mbele eeh nimeandika unachofikiria masaa yote eeh.
ukitaka mada ichangiwe anzisha inayohusu kugonoka utawaona dk chache iko page ya tano...
Kwani wewe mpaka dakika hii upo jukwaa gani!!??yani acha tu mkuu,unaweza ingia umu ukaona wengine kama member wapya kumbe wakongwe wanakufa na MMU tu.
unahamu kuungana na babuseya..Umenikumbusha ngoja niende kwenye kideti changu nikakipige walau cha fastafasta.......Dah sasa sijui ntapata wapi Ryder usiku huu
Labda wenzetu wanafanya mapenzi ya jinsia moja sasa wanahisi kutengwa, maana topic hizo hapa hazina nafasi thats way u never know where is complain coming from!!kweli jina linaelezea
usipowaza ngono una ugonjwa
tena hatari sana.
Hapa chaguo ni lako, hakuna aliyekulazimisha au kukuvuta shati kuja hapa.Mkuu utapondwa sana kwa mada hii lakini usijali ukiona hivyo basi jua ujumbe umefika na kumbuka daima ukweli unauma kuliko kidonda kibichi...
Humu ndani hatukatai kuchangia hoja za mapenzi lakini kinacholeta sintofahamu ni baadhi ya watu wao kutwa mapenzi,wakiamka mapenzi,mchana mapenzi lakini nenda majukwaa mengine hautamwona hata kwa kupotea njia,sasa unajiuliza hawa wana kazi ya kupromoti mapenzi ama?asikudanganye mtu,akiwazacho ndo kinachomtafuna ubongo wake na kwake hiyo inamchukulia mda sana
Ndugu zetu punguzeni kuwaza mapenzi,haya mapenzi yapo na hayana jipya,tujadili maisha ya watoto wetu baadae,mapenzi hayatawasaidia wanetu katu wala hawana cha kujifunza katika mapenzi,tukubali tuwaache wale waliopevuka leo waongee kuhusu mapenzi
Sasa wewe umeshakuwa na wapenzi mpaka kila staili na kila kiwanja umefika iweje leo mapenzi yakuweke roho juu hivyo ama tuamini umebarehe leo?kama si ulimbukeni tuiteje?
Kwahiyo wewe kwa akili yako maisha ya watoto yanajadiliwa kwenye siasa pekee?Au unadhani mtoto anahitaji kula na kulala tu toka kwa mzazi wake.?Ndugu zetu punguzeni kuwaza mapenzi,haya mapenzi yapo na hayana jipya,tujadili maisha ya watoto wetu baadae,mapenzi hayatawasaidia wanetu katu wala hawana cha kujifunza katika mapenzi,tukubali tuwaache wale waliopevuka leo waongee kuhusu mapenzi