Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Mwendazake ndio alisemaMimi siyo mtaalamu wa uchumi, ila naona siasa ilitumika katika kuwasilisha taarifa kwa umma. Tanzania ni nchi ya UCHUMI WA KATI WA CHINI na siyo nchi ya UCHUMI WA KATI kama inavyosemwa...