Ishu ni function yake, huwezi kujenga tunnel for the sake ya kujenga tu. Mchina anawajua akili zenu ndiyo maana amewajengea mivituo ya ajabu ili kuwapumbaza.
Ishu ni function yake, huwezi kujenga tunnel for the sake ya kujenga tu. Mchina anawajua akili zenu ndiyo maana amewajengea mivituo ya ajabu ili kuwapumbaza.
Hakuna tunnel yoyote yenye urefu wa 7Km kusini mwa Sahara, huo ni uongo wa wakenya kama kawaida yao, hao wameunganisha tunnels nyingi. Hapa kwetu zipo NNE, the longest ndio hiyo 1.2Km, ukiziunganisha zote nne zinaweza fika 5Km.
kiukweli, ni uchungu sana kusema ila hongereni watanzania heri nyie mnaletewa treni za kisasa...hata bridges naona ziko poa sana...most importantly, hamjaibiwa kama wananchi...huku kwetu, treni ni za diesel ila zimekuwa ndio bei ghali kabisa kuliko zote...SMH Mr. Magu, I respect you...sisi tunafuata nyayo za Nigeria jinsi corruption inavotutafuna...juzi tu tumeshindwa kujenga stadium zitakazotumika kwa CHAN ilhali Rwanda ili host mchezo huo vizuri kabisa...🙁🙁🙁sasa hivi tuna vuta nikuvute kati ya serikali, opposition, electroral commission na Supreme court, wakenya wanaumia kwa njaa, wengine hawana makao wanaofaa kuishi wanadamu..vijana hawana ajira.🙁🙁🙁 yaani wanasiasa wanatulet down sana...Pengine private sector ndio wanajaribu na kutuletea mijengo na hoteli za kisasa ila ni za kazi gani wakati wanasiasa wanaharibu kila kitu...🙁🙁🙁 kwa utawala wa Magu, Tanzania hii sio ile ya kale...
Hakuna tunnel yoyote yenye urefu wa 7Km kusini mwa Sahara, huo ni uongo wa wakenya kama kawaida yao, hao wameunganisha tunnels nyingi. Hapa kwetu zipo NNE, the longest ndio hiyo 1.2Km, ukiziunganisha zote nne zinaweza fika 5Km.
Evidence? BTW that 4.5 km u claim is nearly 3 km less from 7.4km! That means if 7.4km was for all the tunnels in ur SGR then TAZARA with a combined 22 tunnels will be way longer compared to SGR Kenya.
According to the Kenya Railways management, laying of tracks is the next step after completing the tunnel.
The Ngong tunnel has been designed as a single-track railway path with a clearance height of 7.6 metres and a width of 6.4 metres constructed using the three-bench seven-step excavation method.
Benching refers to the creation of a series of steps in the vertical wall of an excavation to reduce the height and ensure stability during construction.
Evidence? BTW that 4.5 km u claim is nearly 3 km less from 7.4km! That means if 7.4km was for all the tunnels in ur SGR then TAZARA with a combined 22 tunnels will be way longer compared to SGR Kenya.
4.5km Ngong rail tunnel to be ready in August
THURSDAY, MARCH 29, 2018 9:41
BY BONFACE OTIENO
A completed section of the Ngong tunnel from the locomotive entry side. COURTESY PHOTO
Works on Kenya’s first and longest railway tunnel at Em-Bulbul in Kajiado County will be completed in August, China Communications Construction Company (CCCC) has said.
The tunnel is on the 120-kilometre Nairobi-Naivasha route of the standard gauge railway (SGR).
The company’s spokesperson Steve Zhao said engineers were working round the clock to ensure that the section is completed in the next five months.
“So far 1.2km is complete from the exit end, 0.8km from the entry side of the tunnel and 0.5km from the mid-section. The construction is taking place simultaneously to ensure that we complete all the work within the stipulated time,” said Mr Zhao in a statement Wednesday.
The Em-Bulbul SGR tunnel in Kajiado County covers 4.5km and is the first of the three sections of the 7.14km SGR tunnel, the contractor says is the second longest railway tunnel in Africa.
A construction worker walks past a frame used to hold a tunnel in the ongoing construction of the Standard Gauge Railway (SGR) Nairobi-Naivasha line. FILE PHOTO |NMG
The other two sections of the tunnel cover 1km and 1.64km.
These will be constructed along the Naivasha-Nairobi standard route at a total cost of Sh150 billion funded by the Exim Bank of China.
The construction of the line to Naivasha is expected to be completed within 2019, the company said.
Single-track line
The Ngong tunnel has been designed as a single-track railway tunnel with a clearance height of 7.6 metres and a width of 6.4 metres constructed using the three-bench seven-step excavation method.
Benching is the creation of a series of steps in the vertical wall of an excavation to reduce the wall height and ensure stability during construction.
The rocks are blasted to create the tunnel’s arch shape.
The construction of the Naivasha line started in January with the production of parts like T-beams and sleepers.
The Standard Gauge Railway (SGR) Nairobi-Naivasha tunnel which begins from Embulbul in Ngong Town. FILE PHOTO | NMG
After the completion of the Nairobi-Naivasha line, it is expected that the line to Kisumu will be built at a cost of Sh350 billion.
The Mombasa-Nairobi SGR line was built at a cost of Sh327 billion.
Although the passenger services have picked up since launch in May last year, the government is firing on all cylinders to win the hearts of importers to get the right volumes on the rails to the Nairobi container depot.
Kuhusu speed ya train, soma vizuri maelezo yangu acha kujifanya hujaelewa, nilisema kwenye train muhimu ni reli yenyewe design yake kama itaweza kuruhusu huo wendo, hata kama locomotives zinauwezo mkubwa wa kukimbia speed kali, ninadhani ulielewa vizuri ila unataka kusumbua akili yangu, hivi Tanzania ikiamua kununua locomotives zenye uwezo wa 300km/hr, na imeandikwa hivyo, utaamini kwamba hiyo ndiyo speed itakayosafiri?
muhimu ni design ya railway, how closer curvatures are, what is average radius of the curves, what is inclinations and slopes, ndivyo vitu vinavyo determine speed ya train, hata gari la kawaida hivi vinaueika sana, sema gari utaongezea mashimo, matope, mchanga, mawe na hali ya tairi za gari
yaani nimeumia sana ndugu kuona treni hizi za kisasa wakati zetu zinatuchosha kwa kelele na moshi....ina maana Kenya imekosa umeme wa kutosha? apana...hii itakua ni wizi mkubwa ulitendeka kule kati ya serikali na wachina...haiwezekani reli yetu ikawa ndio bei ghali ila nje ya stesheni, hamna jambo la maana...bridges ni za kawaida sana ila ona tu za wenzetu...duh! tuliibiwa...
Dah kwa kweli Vivaa Magufuli leo nimeshangaa kumbe mpaka hii phase two ya Moro to Dom financier ni serikali Dah well done president ni kweli tunapaa ila kwa zijazo Nashauri tutafute soft loans.
Anafanya pia jambo kubwa kwa phase za kwanza kutumia pesa za ndani ili iwe rahisi kurudisha pesa na kwanza kujiendesha kabla treni na reli hazijaanza kuchoka 🤗🤗🤗🤗🤗
Kwanini usifanye wewe unataka nikufanyie mimi, ninachojua ni kwamba wastani wa nusu ya reli imegharimu $3.1B, kwa hesabu za haraka nusu iliyobaki itatumia kiasi hicho hicho, kumbuka Dar, reli itapita juu ili ipishane na watu na Magari zaidi ya urefu wa Kilometa moja na nusu, hivyo kipande cha Dar hadi Dodoma kuwa ghali zaidi kuliko Dodoma Mwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.