Sasa ndio kazi mijibaba mikubwa mikubwa naiona ikinyenyekea kwa Sultana Samia,yaani Tanzania ni pekee duniani stresi ni tatizo linaloondoka bila ya kutumia makemikali.
karibu tutaona zile shangwe za mikutano zikianza na mihemko yake,karibu tutaona rasimu ya katiba ya Warioba ikipitishwa karibu tutaona viongozi wa kidini wakiachiwa huru karibu tutaona waTz wakiwa wenye furaha japo mzunguuko wa hela.
karibu tutaona zile shangwe za mikutano zikianza na mihemko yake,karibu tutaona rasimu ya katiba ya Warioba ikipitishwa karibu tutaona viongozi wa kidini wakiachiwa huru karibu tutaona waTz wakiwa wenye furaha japo mzunguuko wa hela.