Niwemugizi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 902
- 462
Niwemugizi:swala dogo la uelewa ni kwamba Rais kikwete aliwakosea wenzie kwa kupayuka kwenye mkutano kama ni ushauri as alivyosema alitakiwa afanye faragha na mwezie na sio kufyatuka , Kwa nafasi zao za uongozi wanapaswa kuheshimiana hakuna mnyonge au mbabe. Ila kwa kiongozi wetu kwa kuwa night mzee wa umaarufu na mipasho hakujua watafika huko alijua pk ni kama Dr slaa anavyo mtoleaga vijembe PK sivyo kelele za bawaba......... mwenye nyumba? Hivyo kwa ustaarabu JK Alitakiwa kuomba raia wa Rwanda Msamaha, mbona mtwara hamzungumzi nao mnatuma wa jeida wawapige Tutoe boriti kwenye jicho letu ndipo tutaona kibanzi kwenye jicho la wenzetu nashukuru kwa kunielewa
Sasa swali langu ni dogo tu, kama walisemwa marais watatu mbele ya hadhara kwa nini alieumia ni PK peke yake? After-all wakati Kikwete anasema vile hakuwa na kosa maana matatizo yao ndiyo yanayosababisha instability kwetu so bora alimwage.By the way wewe unaona tumepungukiwa na nini mpaka sasa