Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 562
- 1,148
If 85 are atheists why are you singing Mungu ibariki in your national anthem?
Dini zina ubiri upendo na kusamahe pia usiue , ila hao unaowaita washika dini wanashabikia mauaji ya palestina na Israel na Lebanon , nafikiri mtoa mada kuna namna yupo sahihi tena hapo kawahurumia sana🤔🤔🤔Unaumwa wewe.
Nchi ilivyojaa washika dini hii?
Nchi hii chumba mkristu, chumba muisilamu hao 85% wasio na dini umewapata wapi
😝😝😝 propaganda tu izo za wakristo na waislam; cc wapagani ndo mostUnaumwa wewe.
Nchi ilivyojaa washika dini hii?
Nchi hii chumba mkristu, chumba muisilamu hao 85% wasio na dini umewapata wapi
Atheists wa hapa kwetu wanaamini Mungu yupo, isipokuwa inawapendeza tu kuitwa atheists.Pagan ,non religious kwenye hiyo 85 ni 84 labda atheist inaweza kua 1 au o.o kati ya hizo 85.
Wewe ndio upo vichwani mwao mkuu?Atheists wa hapa kwetu wanaamini Mungu yupo, isipokuwa inawapendeza tu kuitwa atheists.
Basi asingesema non-religious, angesema waimba dini wanafikiDini zina ubiri upendo na kusamahe pia usiue , ila hao unaowaita washika dini wanashabikia mauaji ya palestina na Israel na Lebanon , nafikiri mtoa mada kuna namna yupo sahihi tena hapo kawahurumia sana🤔🤔🤔
Ngoja aje ajibu ,mimi nimetoa wazo langu tu.Basi asingesema non-religious, angesema waimba dini wanafiki
Huo ni wimbo tu wa mapokeo mkuu.If 85 are atheists why are you singing Mungu ibariki in your national anthem?
Na hakuna majina ya kiislam au kiikristo; majina ya kiarabu ndo yanaitwa ya waislam na majina ya kizungu au kiyahudi yanaitwa ya Kikristo na wanacheka majina yetu halisi ya KibantuNi sahihi maana tunakwenda sana kwa waganga watupigie ramli, mazindiko, kupata utajiri, watoto, ubunge, mvuto listi ni ndefu ya kuonesha tuna mambo yetu ya kienyeji hata usome sana ukapata ma degree, au uitwe jina la kikristo, kiislamu bado mambo yetu ya Mizimwi, Madogoli, Masika Zolelanga na Vinyamkela n.k vina nguvu kuliko hizi dini za kuja kwa majahazi na merikebu toka nchi za mbali.
Na hakuna majina ya kiislam au kiikristo; majina ya kiarabu ndo yanaitwa ya waislam na majina ya kizungu au kiyahudi yanaitwa ya Kikristo na wanacheka majina yetu halisi ya Kibantu
Si nina'share' tukoje. Kwa nje tunasema ni atheists, lakini kwa ndani tunamwamini Mungu. Wewe unaweza kupinga kitu kisichokuwepo, na utaanzaje? Ukipinga, ina maana hicho unachokipinga kipo, labda umeamua tu kutokubaliana nacho. Lakini kama hakipo, utakipingaje, si kila mtu atakuona wa ajabu! Hivyo, ndivyo sisi atheists tulivyo. Kingunge naye alikuwa haamini Mungu yupo, lakini alipokaribia mwisho kabisa nasikia aliomba Padri aende kumwombea. Hivi ndivyo nilivyosikia na kama ni kweli, ni ushahidi mmojawapo. Upo hapo?Wewe ndio upo vichwani mwao mkuu?