ISRAEL JR
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 1,439
- 631
Rais Samia Suluhu Hassan katika kutekeleza Ilani ya CCM 2020|25 iliyoahidi kutoa ajira 8M ifikapo 2025 dalili zinaonesha ajira mpya zitakuwa zaidi ya 8M katika kipindi hicho,
Rais Samia Suluhu kupitia Tanzania Railways Corporation (TRC) 2021 wametangaza ajira mpya 353, Niwasihi Vijana changamkieni hiyo fursa bila kujali itakadi zenu za vyama wala dini au kabila, Hii ndio Serikali ya CCM na haya ndio matunda yake
Rais Samia Suluhu kupitia Tanzania Railways Corporation (TRC) 2021 wametangaza ajira mpya 353, Niwasihi Vijana changamkieni hiyo fursa bila kujali itakadi zenu za vyama wala dini au kabila, Hii ndio Serikali ya CCM na haya ndio matunda yake