wanabodi, katika majiniasi wasiotambulika kwa wengi hapa TZ mmojawapo ni KP lakini na huyu mwingine anaitwa GADO japo wengi hasa kizazi cha leo wanadhani ni Mkenya. Taja na mzee Gayo (Kingo) nk.
Hii kazi nimeipata kwenye mtandao wa Mh. Zitto and surely it has made my day!
nawe unawatambua nani hapo??
Nkamia si ndiyo anakinajisi Kiti cha Spika
kwa mkojo mrefu sana yaani CCM
bunge hili wameporomosha matusi makubwa
sana sijui kama Hansadi za Bunge zimetunza.
Bora ingekua hivyo, hali halisi ni mbaya kuliko hata hiyo picha. Watu wanasahau kabisa kwamba kwanini wako bungeni na kwamba wanatafuna kodi zetu. Ukifanya ROI kuna wabunge wengine hawastahili hata kulipwa kabisa hadi unatamani bunge lisiwepo kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.